Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

Tabora mjini pana wakati miaka ya 70 katikati walikuja watoto wa Chief Fundikira (Story niliambiwa).

Wakati huo, Fundikira akiishi Kenya kama Mkimbizi. Watoto wakaja kusalimia Unyanyembe, mitaa ya Itetemya.

Walipofika tu Tabora mjini na kale ka kukachanganya Rangi na Uhindi/Uarabu?? Tabora mji uliwaka moto.

Vijana wote walichanganyikiwa kabisa na vijana wa Tabora Jazz wakajiingiza kwenye mapambano.

Walipohangaika na kukwama, wakaishia tu kuwatungia huu wimbo maana watoto walikuwa wameiva na wana RANGI YA CHUNGWA.

 
Last edited by a moderator:
Tabora mjini pana wakati miaka ya 70 katikati walikuja watoto wa Chief Fundikira (Story niliambiwa).

Wakati huo, Fundikira akiishi Kenya kama Mkimbizi. Watoto wakaja kusalimia Unyanyembe, mitaa ya Itetemya.

Walipofika tu Tabora mjini na kale ka kukachanganya Rangi na Uhindi/Uarabu?? Tabora mji uliwaka moto.

Vijana wote walichanganyikiwa kabisa na vijana wa Tabora Jazz wakajiingiza kwenye mapambano.

Walipohangaika na kukwama, wakaishia tu kuwatungia huu wimbo maana watoto walikuwa wameiva na wana RANGI YA CHUNGWA.



Naupenda vibaya sana huo wimbo. Unanikumbusha nilipokuwa jeshini makutupora
 
Last edited by a moderator:
Watu wanaongelea vitu wasivyovifahamu humu, huo weupe ni factor moja wapo tu kuna sifa kedekede nyingine, mfano age ndogo, malezi na heshima ya familia yao. Waafrika weupe ni rarely, and that is the point.
 
mbona mi msukuma mweusi tii lanikini niliolewa kwa ng'ombe 60?
t deep-ends bwana
 
mbona mi msukuma mweusi tii lanikini niliolewa kwa ng'ombe 60?
t deep-ends bwana

Labda mummy wako ni mweupe, so mzee alitegemea kuwa mkianza kutengeneza watoto, labda angeweza kupata mtoto mweupe wa kike (kwa kurithi weupe wa bibi yake), na hatimaye kurudisha ng'ombe 120 ikiwa binti yenu angeolewa na Msukuma. Biashara !
 
1606883_242349752592797_657378763_n.jpg
Muache kusema ni wasukuma tu ndo tunapenda watoto kama hawa,hivi kuna watu wa jamii fulani hawapendi watoto kama hawa?haki ya nani siamini,ndo kila siku tunasingiziwa sisi tu.

Haya mtoto kama wa hivi kama yumo humu ndani mimi nitaarifiwe ili nimpigie simu mzee aandae ng'ombe za kutosha kabisa alafu nyinyi ambao hamuwapendi hawa basi mtuachie sisi wasukuma wanatufaa.
 
mimi hapa nipo mshinga mweupe peeeeeeee kama theruji ongea na my sis mwallu akuandalie idadi ya ng'ombe au unaweza kuwasiliana na Kiranga Ntuzu au Kaunga wakupigie mahesabu ng'ombe wangapi utalipa kwa kifaaa kama mimi then

yawezekana mi cjui kuchagua eh manake siuoni uzur wwte kwa hyo picha uliyoweka yan kawaida sn
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh acha zako mtoa thread mbona wasukuma hixo mambo zilikua za kizamani Sana,siku hizi ni mahali ya kawaida and si demu mweupe alone kila aina unachukua kifaa
 
mimi hapa nipo mshinga mweupe peeeeeeee kama theruji ongea na my sis mwallu akuandalie idadi ya ng'ombe au unaweza kuwasiliana na Kiranga Ntuzu au Kaunga wakupigie mahesabu ng'ombe wangapi utalipa kwa kifaaa kama mimi then


ILOMBOYE olo otola nkima wope gete, ndoho okobacha etala eboziko! Yani nkima ng'wene akayobaka gete tala Wei doh! Neyo nakowele amang'ombe Lazima gaje minge sn
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom