Leo naona unafukua makaburKumbe mambo ya watu kuitana vipusa, yalianza zamani humu jf?!, mimi nilidhani ameanzisha Ali Kiba!.
P.
tupe mfano mmoja !Hawa wajomba zangu wananishangaza sana inabidi leo nipatiwe majibu.Mwanamke mweupe huolewa kwa ng'ombe wengi tofauti na wengine.Wasukuma huwa tayari kutoa chochote ili kutimiza adhma ya kuwa na vyeupe.Pia msukuma yupo radhi kuhonga chcochote kwa mtoto cheupe hata kama ni cha jumuiya.Je ni kwa sababu ya ushamba,ulimbukeni,maagano au ni tamaduni zao?Majibu yasiyokuwa na povu ni muhimu bandugu.
Una uhakika au ni stori za UDAKUHawa wajomba zangu wananishangaza sana inabidi leo nipatiwe majibu.Mwanamke mweupe huolewa kwa ng'ombe wengi tofauti na wengine.Wasukuma huwa tayari kutoa chochote ili kutimiza adhma ya kuwa na vyeupe.Pia msukuma yupo radhi kuhonga chcochote kwa mtoto cheupe hata kama ni cha jumuiya.Je ni kwa sababu ya ushamba,ulimbukeni,maagano au ni tamaduni zao?Majibu yasiyokuwa na povu ni muhimu bandugu.
Sisi ni matajiri Ng'ombe kwetu siyo issue .....!Hawa wajomba zangu wananishangaza sana inabidi leo nipatiwe majibu.Mwanamke mweupe huolewa kwa ng'ombe wengi tofauti na wengine.Wasukuma huwa tayari kutoa chochote ili kutimiza adhma ya kuwa na vyeupe.Pia msukuma yupo radhi kuhonga chcochote kwa mtoto cheupe hata kama ni cha jumuiya.Je ni kwa sababu ya ushamba,ulimbukeni,maagano au ni tamaduni zao?Majibu yasiyokuwa na povu ni muhimu bandugu.
Hahahahaaaa
Kwasababu wanajua watazaa watoto weupe ambao pia watawaozesha kwa garama kubwa zaidi Mara mbili yakile alichotumia yeye.
Aseee hii chuki si ya kawaida, pambana na hali yako tuache ngoshaz tule vitamu
Nalekamili keti ipolu..Ndio ukweli huo...mwanamke mweupe usukuman huozeshwa kwa ng'ombe wengi sanaaaaaaaaaaaKidogo unanishawishi.Ni kweli kabisa wakati mwingine wanawake weupe hutumika kama mitaji.Bibi yangu aliwahi kuniambia kuwa yeye aliolewa kwa ng'ombe wengi kuliko wasichana wengine kwenye ukoo wao kwa sababu alikuwa ni cheupe kama mwarabu.