wana jf,
wengine sio misosi wala nini ni matokeo tuu ya uzazi. Na hilo pia tuliwaze na kulijadili.
Mfano mwanamke akijifungua kwa c-section (operation) na awe amepasuliwa ya kusimama sio cross,
huwa hafungi tumbo matokeo tumbo halirudi hali yake ya mwanzo. Kanakuwepo kama kakitambi.
Mtu wa aina hii mnamsaidiaje? Naamini nae hataki au hapendi kitambi kabisa.
mimi ni mmojawapo. Ushauri tafadhali.
mh,mi nadhani inategemea,mimi nna two kids na wote ni kwa c-section kama hiyo unayosema,lakini ckufunga wala nn na ukiniangalia huwezi amini kama nna mtoto hata mmoja achilia mbali operation.
Kuna wakat nilinenepa nikawa na kitambi,mr akawa ananisema nikaanza diet kikaisha kabisa.