Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Mbonyi shafo mkeku.

Sisha banee nke wesa wakyeku wa walale sana machalari na wari wonyingo na wandumi ulalu washimba ndeu zao bana. Nasahau lugha yetu aisee

Mbalii kule naasikia malaika wakiimba ooooh hoooo............
 
Ushauri mzuri ila natamani ungeondoa habari ya mvuto ungeweka ya afya zaidi.
Anyway ni mtazamo tu, si unajuwa wanawake siku hizi wanapata raha nyingine tu licha ya kuwa na mwanaume anayevutiwa nae? yani sio priority kama ilivyokuwa zamani.
Ila ni muhimu kuwa na afya nzuri ili uweze kufaidi mafanikio yako,
Watu wa kupetipeti wapo tu ni pesa tu.
Kwanza hata ukiwa na shepu nzuri nzuri mwanaume wa kupenda utampata? (maneno ya mkosaji) msemo wa siku hizi RAHA JIPE mwenyewe, ukisubiri......
ILA POINT TAKEN, NGOJA NIPUNGUZE CHANGU. ili nifaidi maisha, including hao wanaume wachache
images

seriously speaking, wanawake siku hizi wana agenda nyingine nyingi tu zaidi ya kuwa mvuto kwa wanaume
 
ni kweli ivi vitambi vinabore basi tu na appetite nazo A sijui tufanyaje wengine hamna dawa ya kuondoa hamu ya kula kibweka

Waweza piga msosi ila fanya au zidisha Mazoezi:A S-alert1:
 
Nguli kwan huyo ni mwanamke?? hata wanaume wazee mavitambbi sio ishu haswa kwa vijana bora hata watu wazma flan kwanzia 50 an bove. njoon gym bana!
 
ni kweli ivi vitambi vinabore basi tu na appetite nazo A sijui tufanyaje wengine hamna dawa ya kuondoa hamu ya kula kibweka


hapo umenena jamani tungepata dawa ya kuondoa hamu ya kula mbona mambo yangeenda vyema?
 
[/SIZE][/B]hapo umenena jamani tungepata dawa ya kuondoa hamu ya kula mbona mambo yangeenda vyema?



Mimi naona kula sio tatizo kubwa kama inavyoweza kufikiriwa,na ieleweke kuwa kula ndio msingi mkuu wa afya ya binadamu.Tatizo kubwa ni kujua unakula nini,na wakati gani,na vilevile kile unachokula kinaunguzwa sawasawa mwilini au kinaenda kutengeneza mafuta ambayo ndio hayo mavitambi?
 
Sisha banee nke wesa wakyeku wa walale sana machalari na wari wonyingo na wandumi ulalu washimba ndeu zao bana. Nasahau lugha yetu aisee

Mbalii kule naasikia malaika wakiimba ooooh hoooo............

Ende umbeke ngirie kidoko....

Gloooooo ooooo oooooooo riaaaaaaaaa in excelsis deeeeeeeeeeeeooooooooooooo!!!
 
Mimi naona kula sio tatizo kubwa kama inavyoweza kufikiriwa,na ieleweke kuwa kula ndio msingi mkuu wa afya ya binadamu.Tatizo kubwa ni kujua unakula nini,na wakati gani,na vilevile kile unachokula kinaunguzwa sawasawa mwilini au kinaenda kutengeneza mafuta ambayo ndio hayo mavitambi?

tatizo vyakula tunavyovipenda ndio twakatazwa sasa, halafu na bia twaambiwa tusinywe mwe yaani nikifikiria kuku + mishikaki + kitimoto + baga + bia = kitambi nachoka kabisa mwe bora nitafutiwe tu dawa ya kuacha kula sijataja chips hapo + pepsi
 
Kwa hiyo vitambi mpate nyie madume, wakipata wao majike inakuwa nongwa sio?!!
Wapi TGNP jamani? usawa bana!
 
tatizo vyakula tunavyovipenda ndio twakatazwa sasa, halafu na bia twaambiwa tusinywe mwe yaani nikifikiria kuku + mishikaki + kitimoto + baga + bia = kitambi nachoka kabisa mwe bora nitafutiwe tu dawa ya kuacha kula sijataja chips hapo + pepsi
+kuangalia TV na kulala kama bata + kutofanya mazoezi yeyote hata yale ya kijinsia (au ukifanya unataka kutumia manual----hakuna kukimbiza)
 
Ende umbeke ngirie kidoko....

Gloooooo ooooo oooooooo riaaaaaaaaa in excelsis deeeeeeeeeeeeooooooooooooo!!!

mwe inywe bantu why kutogosipu timwikumanya kishwaili
 
tatizo vyakula tunavyovipenda ndio twakatazwa sasa, halafu na bia twaambiwa tusinywe mwe yaani nikifikiria kuku + mishikaki + kitimoto + baga + bia = kitambi nachoka kabisa mwe bora nitafutiwe tu dawa ya kuacha kula sijataja chips hapo + pepsi
Maty mwanangu, kama kitambi kinakuzengua, kamata abood, ntakufuata Ubungo pale then ntakupeleka Rombo green view. Then ntakutibia. Usijali, mimba si kitambi.......
 
Back
Top Bottom