Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

we nawe hebu acha uchokozi mi uko siko leo naangaika na kutafuta tiba ya kitambi changu kumbe hamvipendi, ladies ingawa hii topic inauma mbona hamjampa kibweka thanx pale juu ametusaidia kugundua kumbe vitambi hawavipendi ila basi tu maana wadada/wamama tulishaanza kuvihalalisha na kuviita (kitambi fashion) asante kimbweka kwa kutugutusha lol

Naona mlitaka kuwa wahindi
Hata kiuno hakijulikani kilipo teh teh:A S-alert1:
 
Kimbweka bwana mie sio siri kaniudhi sana leo eti tunapewa ofa??? Kaniudhi mie huyu we mwache tuuu

Sasa unafikiri tunafurahia likitambi lako
We udhika ila nimekupa faida
Kitambi hakitakiwi banaaa:A S-alert1:
 
Sasa unafikiri tunafurahia likitambi lako
We udhika ila nimekupa faida
Kitambi hakitakiwi banaaa:A S-alert1:

Kitambi nimesema nitafanya mazoezi ila tabia ya kuniambia mnatupa ofa sikubaliani nalo kabisa.
 
Kitambi nimesema nitafanya mazoezi ila tabia ya kuniambia mnatupa ofa sikubaliani nalo kabisa.

Duh king'ang'anizi, yaaani umeng'ang'ana na ofaa wee haya bana
Ntakuzidishia ofa maana sasa inaelekea hutosheki na OFA ZA SASA:A S-alert1:
 
Misahau kuna mazoezi ya kuongeza hips na ...ko pia, usije ukawa hivi

images


Kitambi kweli hakifai

images


images


sijui anamkasirikia nani huyu atakuwa kilimanjaro mdudu na mihogo imemwaathiri

images
 
Duh king'ang'anizi, yaaani umeng'ang'ana na ofaa wee haya bana
Ntakuzidishia ofa maana sasa inaelekea hutosheki na OFA ZA SASA:A S-alert1:

Mie sitakubali bwana hamtupi ofa halafu mnatuchana line tu hapa mi sikubali aisee
 
Misahau kuna mazoezi ya kuongeza hips na ...ko pia, usije ukawa hivi

images


Kitambi kweli hakifai

images


images


sijui anamkasirikia nani huyu atakuwa kilimanjaro mdudu na mihogo imemwaathiri

images

Hahahaha haya si madhara ya kupiga chuma Nguli?
 
naona wadada/wamama wengi vitambi tunavyo, kweli ukiuliza visingizio ni vingi, mie naombeni msaada mmoja , ukiwa umezaa tena kwa operation mara moja au zaidi ni mazoezi gani utatakiwa kufanya ili hicho kitambi mnachopigia kelele kisiwepo??
 
Mie sitakubali bwana hamtupi ofa halafu mnatuchana line tu hapa mi sikubali aisee

Tunawapa ila kwa kuwa zinachangia kuwaletea kitambi inabidi tuwashtue kidogo au vip:A S-alert1:
 
Nawatia hamasa ya kufanya mazoezi mwenzenu mimi nimekubuhu mpaka sikuhizi nimekuwa chief trainer

Ile tena kiboko looohhh hata changu kikubwa lakini kile kimezidi rafiki mmmhhh kama mzigo
 
Misahau kuna mazoezi ya kuongeza hips na ...ko pia, usije ukawa hivi

images


Kitambi kweli hakifai

images


images


sijui anamkasirikia nani huyu atakuwa kilimanjaro mdudu na mihogo imemwaathiri

images

kwi kwi kwi kweli we nguli umeanza kuzeeka mwe!!!
 
dhu hizo pic hapo juu chiboko, hahahaha hapo hata kidude kimefunikwa.
 
naona wadada/wamama wengi vitambi tunavyo, kweli ukiuliza visingizio ni vingi, mie naombeni msaada mmoja , ukiwa umezaa tena kwa operation mara moja au zaidi ni mazoezi gani utatakiwa kufanya ili hicho kitambi mnachopigia kelele kisiwepo??

Kuna belt huwa wanafunga
Pia mazoezi ni muhimu, kunywa supu kwa kiasi
Kitambi hakikupati:A S-alert1:
 
Back
Top Bottom