kweli inapunguza mvuto vibaya.vitambi vyenyewe vinakua kama vya wahindi waliofilisika
Mdudu na Bia hakuna kingine hapa!:embarrassed:
hahaha hahaha kwikwi kwikwi tehteh tehteh uwiiiikweli inapunguza mvuto vibaya.vitambi vyenyewe vinakua kama vya wahindi waliofilisika
Hapo ni dog style tu!Ofa hizo za bieri na nyama choma. Sasa cjui inakuwaje mama kitambi na baba naye kiambi