3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 284
Ushauri mzuri ila natamani ungeondoa habari ya mvuto ungeweka ya afya zaidi.
Anyway ni mtazamo tu, si unajuwa wanawake siku hizi wanapata raha nyingine tu licha ya kuwa na mwanaume anayevutiwa nae? yani sio priority kama ilivyokuwa zamani.
Ila ni muhimu kuwa na afya nzuri ili uweze kufaidi mafanikio yako,
Watu wa kupetipeti wapo tu ni pesa tu.
Kwanza hata ukiwa na shepu nzuri nzuri mwanaume wa kupenda utampata? (maneno ya mkosaji) msemo wa siku hizi RAHA JIPE mwenyewe, ukisubiri......
ILA POINT TAKEN, NGOJA NIPUNGUZE CHANGU. ili nifaidi maisha, including hao wanaume wachache
seriously speaking, wanawake siku hizi wana agenda nyingine nyingi tu zaidi ya kuwa mvuto kwa wanaume
Sitajadili ulichokiandika. Nitajadili ulivyokiandika. Umeandika kwa flow nzuri ya maneno na mawazo. We ni mwandishi? Nice presentation. Ni hayo tu.