Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Hata mkiwa na uwezo mnabaniamkiona dume linanunua...tena wengine wanywaji asilia wa KILIMANJARO kubwa...ile kama fire extinguisher...mkiona dume mnajifanya kunywa kale kabia SAVANNAH tena mwataka ya uvuguvugu...inabidi ziagizwe mbili moto na baridi ili zichanganywe...bili yakeTZS 3,500X2/round

Yaani bosi wangu umenena, akiwa pekee ataagiza safari/serengeti, lakini ukimuagizia utasikia ooh Savannah au kijani, ili mradi mashaka matupu!
 
they are always less attractive when present with central obesity
 
kimbweka mie nishafanya mazoezi ya kuondoa kitambi nipe maksi basi...... 39876_1575336627874_1369346089_31553435_7111189_n.jpg
 
Jamani lets face it..bongo tumezidi kula vyakula vya mafuta (kitimoto, kuku, mbuzi, ulimi, utumbo...na mazagazaga kibao...). Nenda jioni mitaa ya Mikocheni, Sinza, Mwenge, Kimara etc....ni kiti moto kwa kwenda mbele. Anyway na lifestyle inachangia...mtu anashinda job akitoka..ni foleni..anaamua kubranch kwenye pub asubiri foleni isogee...hapa linaletwa sinia limejaa kiti moto na bia za kufa mtu..kitambi kitakosekana kweli? Ila hata sisi wanaume...we have to change na tufanye mazoezi..siku hizi unakuta wanaume kibao..wamenenepeana mashavu kama sijui nini..yaani mpaka mtu anakuwa shapeless.....Yaani kwa kweli na suggest..waume kwa akina dada..tuangalie namna tunavyokula misosi...tuwe na discipline ya kula......its too much beer na nyama.....na tunakula sana kwa sababu..tukienda bar kusudi tunywe pombe lazima tule kwanza......ndo hapo..unakuta masinia ya kiti moto yanapishana.......Yaani mi nachoka aise...
 
kwanini wanawake wengi wa tz mna vitambi???

kitambi_kike.jpg


picha kwa hisani ya jay dee blog
 
borrrrrrrrringgggggggggg:smash::smash::smash::smash:...MODS wanaoleta picha za watu kuwadhalilisha wawe wanapewa BAN kidogo ya siku kadhaa ,wasijenge hii kuwa tabia!
 
mmmmhh jamani kitambi ni utajiri...

mie changu nasukuma kwenye troli...
 
borrrrrrrrringgggggggggg:smash::smash::smash::smash:...MODS wanaoleta picha za watu kuwadhalilisha wawe wanapewa BAN kidogo ya siku kadhaa ,wasijenge hii kuwa tabia!
wewe ni mwanamke?
 
Back
Top Bottom