Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Ndoa ni utapeli. Ila basi tu tumeamua kujitoa ufahamu.
Ndoa ni nzuri tu katika malezi ya watoto endapo mtakutana watu wenye akili. Ila vingine vyote havitekelezeki kirahisi, ni mateso ya hali ya juu. Na ili ndoa idumu basi lazima wote au mmoja wenu awe boya. Hii kitu ni kama jela.
pagumu hapo, maana mi nikinusa harufu ya upendo hata kidogo kwangu, basi upendo kwangu kwenda kwingine unakuja natural.

yaani najitoaga ile yenyewe, play my part well kwasababu furaha yangu ni kuona mwingine ana furahi so ni kama challenge.

Ila yakianza makelele, fujo, u spy, ubinafsi ndio usha nikosa. Demi
 
Kweli kelele sio jambo zuri kw austawi wa ndoa hata kidogo

Mwee kufukuzwa tena😳 mtu ambaye ana makelele bila sababu ni tatizo kunwa!
sio kufukuzwa ni kutengana kiroho safi, umeweka standard nikafit zangu umeshindwa vya nini sasa?.

kelele ni mbaya hata kwa afya ya akili na utafutaji, ndio maana huwa napenda kuwa a man to her, na rafiki pia ili tuzungumze what's right and wrong.
 
sio kufukuzwa ni kutengana kiroho safi, umeweka standard nikafit zangu umeshindwa vya nini sasa?.

kelele ni mbaya hata kwa afya ya akili na utafutaji, ndio maana huwa napenda kuwa a man to her, na rafiki pia ili tuzungumze what's right and wrong.
Mwanaume wa kweli! Una play part yako bila kumbugudhi mtu, halafu yeye mapepo yakimpanda anakutoa kwenye reli!

Sema ukishamjua mtu wako haikusumbui sana, unampuuzia tu!
 
sio wanaume wote ni wabaya kwamba wake zao wamechukua tabia hizo, wanaume wanao gongewe wake zao ni watu wapole wanaowapenda wake zao tena hata kuchepuka hawachepuki, shida ya wanawake wanatamaa saba

wanawake mkienda hivyo ndugu mtazamaji utafikiwa
Hapa nakuunga mkono Mzee ushahidi mzuri ni wa Irene uwoya na mumewe Ndikumana hapa juzi tu Irene uwoya kakiri kuwa chanzo cha ndoa yake kuwa na migorogoro ni utoto alionao japo mumewe alikuwa anampenda sana lakini alikuwa anamcheat binti kiziwi dada yangu wapo wanaume ambao ni innocent ni vile ujabahatika kuwapata Wanasumbuliwa na toxic women na inakuaga hivyo ukiwa mwanamke mwema unapata toxic man, ukiwa toxic woman unapata innocent man
 
Kweli kelele sio jambo zuri kw austawi wa ndoa hata kidogo

Mwee kufukuzwa tena😳 mtu ambaye ana makelele bila sababu ni tatizo kunwa!
Mwanaume wa kweli! Una play part yako bila kumbugudhi mtu, halafu yeye mapepo yakioamda anakutoa kwenye reli!

Sema ukishamjua mtu wako haikusumbui sana, unampuuzia tu!
Kupuuzia mambo wee utajikuta futi 6, mtu akirudia Mara 3 sio coincidence hiyo.

There's a certain thin amesha chagua apitemo, so una acha ukidhani vita change ohh kimeumana.
 
Kupuuzia mambo wee utajikuta futi 6, mtu akirudia Mara 3 sio coincidence hiyo.

There's a certain thin amesha chagua apitemo, so una acha ukidhani vita change ohh kimeumana.
Kwakweli tunahitaji kuwa tunafahamiana kwa muda fulani kabla ya kuanza kuwekana ndani duh🙌🏾 Ukiwa na haraka zako ndio mambo kama hayaa🫴🏾
 
MTu anachepuka, anaku abuse emotional...anakupa hela anasepa..no intimacy , hisia zinakufa..ila ye ana enjoy huko nje..ukilazimisha anapanda anamwaga kamaliza analala....

Halafu unakutana na mtu nje anakubembeleza,yaani romantic...weee😁😁😁
Mjep au nasema uongo
Hahaha. Mnachekesha nyie. Na huyo naye wa nje anayekubebisha mwisho wa siku atapanda atamwaga atasepa. Au akiendelea kuwa nawe atakuwa nawe just for your body. Najiulizaga kwanini wanawake huwa wanadanganyika kirahisi hivi, sipati jibu.
 
Ndoa zisingekuwepo mwaya 😩

I will leave lakini mwajuma, pili, na Raheli je? sio kila mtu ataweza kuondoka, na hata akiondoka huko aendako ndio bora?

Tangu wanaume mlipokataa kuwajibishana kwenye hili, it does not seem to help . Mambo ndio kwanza yanazidi kuwa mabaya.

I hope kuna siku mtaelewa kwanini kwenye baadhi ya mambo huwa nakomaa na mwanaume, simple katika sayansi ya kuhusiana… Mwanamke ni reciprocater, in most cases atakurudishia kile ulichompa.

It’s natural justice, you can not pour from an empty glass.
Tatizo la wengi wa hao wakina Mwajuma na Raheli linalowafanya kubaki kwenye abusive marriages mara nyingi huwa siyo waume zao. Huwa ni kukosa ufahamu au elimu ya haki zao kuhusu namna wanawezaje kukimbia abusive marriages, kitu ambacho siyo kosa la waume zao. Hao waume zao wenyewe nao mara nyingi ni wahanga wa kukosa ufahamu wa namna ya kuishi vyema na wenza wao. As long as we keep pointing fingers at each other instead of confronting the real problem, which is a culture of abuse, this won't stop. But, no, this is not a men only problem.
 
Tatizo la wengi wa hao wakina Mwajuma na Raheli linalowafanya kubaki kwenye abusive marriages mara nyingi huwa siyo waume zao. Huwa ni kukosa ufahamu au elimu ya haki zao kuhusu namna wanawezaje kukimbia abusive marriages, kitu ambacho siyo kosa la waume zao. Hao waume zao wenyewe nao mara nyingi ni wahanga wa kukosa ufahamu wa namna ya kuishi vyema na wenza wao. As long as we keep pointing fingers at each other instead of confronting the real problem, which is a culture of abuse, this won't stop. But, no, this is not a men only problem.
Kabla ya kufika humo Kuna haja ya kujua ndoa ni nini na wajibu na haki zilizopo baina ya wanandoa.
 
kama wewe pia mkeo ataliwa nawewe usikie how it feel kuliwa mkeo so wengi wanakua wanalipa karma za waume zao
 
Back
Top Bottom