cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,127
Huyo Davoo una hakika huko nje anakozunguka hagongi??Kuna mmoja mume wake dereva, jamaa akisafiri tu mke wake anagongeka ile mbaya
Huyo Davoo una hakika huko nje anakozunguka hagongi??Kuna mmoja mume wake dereva, jamaa akisafiri tu mke wake anagongeka ile mbaya
Uongo!! Unapenda sana chini wee, LolMimi sipendi kabisa chini ila naongea Kwa niaba ya wanangu wanaoteseka na chini
Atakuwa anagonga tena sana tuHuyo Davoo una hakika huko nje anakozunguka hagongi??
Bas team both to scoreAtakuwa anagonga tena sana tu
Usikariri mambo mabaya tu, tabia za ma ex zako haimaanishi wanawake wote wapo hivyo.Maisha ya mahusiano yako complicated sana, me nashangaa ma Ex wangu wote ni watu ambao wako tayar kunipa mzigo muda wowote, wengine ni wake za watu wengine wako kwenye mahusiano yao
Sasa kwa mwendo huu kuna haja ya kuoa kweli?
Huko huko mnakowapelekaNauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua
Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida
Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Kwasababu asiye na ndoa kufanya ngono si kuchepuka bali ni "uzinzi" na siyo kosa kwa sheria za Tanzania , labda kwa watu wa dini ndio wanasema usitomb**** mpaka ndoa.Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua
Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida
Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
mi nimewahi kutana na malaya PICNIC chugga anajiuza kwa sababu ya marejesho ya mikopo na michezo aka vikoba ila akiwa hana madeni haendi kabisa kujiuza,issue ya kijirahisisha haina tofauti na kujiuza tu naona kuna sababu kibao na mojawapo ni iyo niliyohitaja.Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua
Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida
Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Mbona kama hii umeichukulia personal, vp ulishawai kuwa Ex wa mtu? Vp Ex wako akiomba mchezo una uwezo wa kubana?Usikariri mambo mabaya tu, tabia za ma ex zako haimaanishi wanawake wote wapo hivyo.
Hili jambo mwenyewe huwa linalinkosesha amani kabisaMaisha ya mahusiano yako complicated sana, me nashangaa ma Ex wangu wote ni watu ambao wako tayar kunipa mzigo muda wowote, wengine ni wake za watu wengine wako kwenye mahusiano yao
Sasa kwa mwendo huu kuna haja ya kuoa kweli?
Kuolewa haimaanishi anampenda sana huyo jamaaNauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua
Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida
Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Wala hata sipo huko, nimekupa maoni yangu kulingana na ulichoandika. Kama una nia ya kuoa oa tu, yaliyopita yasikufanye usite kufanya maamuzi ya leo na kesho kwa kuhisi yanaweza kutokea hayo ya ex wako ya kutaka kupasha viporo. Unaweza ukapata mke mzuri mwenye kujiheshimu, si wanawake wote ni watu wabaya na hiki ndio nilichokimaanisha bahati mbaya ni kama umepokea tofauti.Mbona kama hii umeichukulia personal, vp ulishawai kuwa Ex wa mtu? Vp Ex wako akiomba mchezo una uwezo wa kubana?
Funguka