Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 12,427
- 36,641
Ndio vitu vyako eenh?Hili nachapa kabisa hili
Ndio vitu vyako eenh?Hili nachapa kabisa hili
Kila mtu anafanya uzinzi kutokana na sababu zake. Wengine ni fantasy tu ila wengine ni sababu ndoa imekosa vibe. Mke hajishughulishi na mumewe au mume hajishughulishi na mkewe. Kujishughulisha Nina maana ya kwamba kupeana mjengo inakuwa kipengele.Ukikariri hili mkuu unaweza ukapigwa na kitu kizito usiamini. Tabia ya uzinzi inasababishwa na mambo mengi mno, fuatilia tu kwenye jamii yako utakubali. Ni sawa kuoa binti bikira ila si sawa kujiaminisha kuwa ni suluhu ya kutokuchepuka, ukifanya hivi then una expect too much kutoka kwa mwanamke at your own risk.
Hahahah Veterani huyo, hawanaga mambo mengi hao!Ndio vitu vyako eenh?
Sasa unafikiri ataenda kuinua ngano lake kwa kila mmatumbi😂 mishangazi hatunaga mba mba mba🤗Hahahah Veterani huyo, hawanaga mambo mengi hao!
😂😂😂😂😂😂😂 Sema wanakuwaga kama luba hao. Akikuingiza kwenye mfumo hataki usepeSasa unafikiri ataenda kuinua ngano lake kwa kila mmatumbi😂 mishangazi hatunaga mba mba mba🤗
ndoa za zamani ziliishi kwasababu ya maadili huwezi kulinganisha na sasa hivi,pia zamani mwanamke alimtegemea mwanaume kifedha na mahitaji asilimia 100 wakati sasa hivi mwanamke nae anapambia nafasi yake kujenga uchumi wa familia ambapo anajiona ana sauti kwenye familia inayopelekea pride yani majigambo unategemea hiyo ndoa itadumuSimple tu swali langu jepesi, "why ndoa za zamani haijalishi za kidini au kimila zilikuwa zinadumu kuliko za sasa".?
Manake nakuona unatizama lkn hauoni. Ndoa sio ajira useme unataka mzoefu.
Sasa ukisepa mpaka kijana mwingine aeleweke ni leo? Hawa ndio wazuri sasa 😎😂😂😂😂😂😂😂 Sema wanakuwaga kama luba hao. Akikuingiza kwenye mfumo hataki usepe
Kihasili uzi ulitakiwa uishie hapa.1) Uliwatongoza ili wakukatalie?
2) Kama uliwatongoza ili wakukubalie, kwanini unakuja kuwasema humu?
Na anajionna yupo sawa, sasa yeye na hao wake za watu wana tofauti gani?Aisee kuna mambo mengine hata sio ya kuanzisha uzi eti 🙄
Ndoa zisingekuwepo mwaya 😩The riskiest survival strategy. Hapo ni kuishia kuzalishwa tena na kubwagwa - achilia mbali magonjwa, verbal & physical abuses etc. No wonder wanawake wengi wanaongoza kwa maambukizi. Solution ni simple tu: Leave the marriage.
Hizi notion huwa mnazitoa wapi Joseph? Huwa mnalijadili hili kwa eksipiriensi gani?Hii kawaida as long hujamkuta bikra basi anaprobability kubwa ya kuchepuka.
Wapo kweli, mi ni shuhuda wa hili. Kuna watu bana ni marafikiiiiii! 🥰watu wanapendena wapo na wanatunzana nyie mnaokota wapi wake zenu mtajuta kula na wako aliwe
Unajifanya hujui???😆😆Duhh! Hili nalo ni tatizo.. ngoja waje🏌🏽♀️
❤️❤️❤️❤️❤️Kila siku huwa nasema jamii yetu iko Biased na UNAFIKI.
mambo mengi yanaangalia upande upi ufaidike na upi upate hasara, upi ubebe lawama, upi ubebe pongezi.
Ni hivyo, mwisho wa siku ni Mikanganyiko tyuuh.
Hebu tuishi ktk UKWELI na uhalisia.
Haina uhusiano wowote na bikraHii kawaida as long hujamkuta bikra basi anaprobability kubwa ya kuchepuka.
Hata wao wanajua wanajizima data tu😂 kuna vitu unavikosa ndani unakutana navyo njeUnajifanya hujui???😆😆
Zamani nilikuwa nashangaa
Bt as time goes nimegundua ni rahisi sn kuchepuka
Yaani hiyo niliikuta sehemu pia mpaka wanaume walianzisha uzi wao kwanini hawapendi wanawake wenye hizo bikra, aisee coments zinafikirisha🤦🏽♀️Hizi notion huwa mnazitoa wapi Joseph? Huwa mnalijadili hili kwa eksipiriensi gani?
Au tu ni njia rahisi ya kujustify kwanini ndoa zinasumbua… that’s purely simplification.
Siku moja nikakuta sub thread moja kwenye social platform fulani, mleta post ameuliza “kwa tulioolewa bikra, niambie kwanini unajutia kuolewa, na kwanini you started cheating “ moderator nadhani ni mkenya.
Kulikuwa na comments walau elfu 5, kazi yangu ya umbea nilikuwa nasoma na ku view profile za watu 😅
Nikafanya content &thematic analysis kupitia comments, opinions na patterns… conclusion ikaja hivi: Wanawake wanacheat back sababu ya kuvurugwa na wanaume, common patterns inasema walioolewa wadogo miaka 17/16-20 wakifika miaka 23 wanakuwa wameshaanza kuchepuka… Walioolewa wakubwa 25/30’s wana tendency ya kuishi kwenye ndoa kama wameachika ikiwemo kuchannel muda&energy zao kwenye kazi/biashara na kuchepuka.
However, ukisoma comments za wanaume utagundua walioa bikra wako okay “kuanzisha” mwanamke akianza kuchepuka he will care less, ni kama ule msemo wa nimeanzisha hao wengine watajua wenyewe, purely it’s good for the men’s ego.
Wakati huo huyo mwanaume anakuwa sio mune wa mtu? Maana km point ni bikra ht wanaume wanakua washalala na watu kibao b4hii kali na ndiyo ukweli
MTu anachepuka, anaku abuse emotional...anakupa hela anasepa..no intimacy , hisia zinakufa..ila ye ana enjoy huko nje..ukilazimisha anapanda anamwaga kamaliza analala....Hata wao wanajua wanajizima data tu😂 kuna vitu unavikosa ndani unakutana navyo nje