Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kila mtu anafanya uzinzi kutokana na sababu zake. Wengine ni fantasy tu ila wengine ni sababu ndoa imekosa vibe. Mke hajishughulishi na mumewe au mume hajishughulishi na mkewe. Kujishughulisha Nina maana ya kwamba kupeana mjengo inakuwa kipengele.

Kwa sexually active partner huwezi kuishi na nyege kisa matako mmoja anaona kukupa mali kwa masimango kama anakufaidisha sana, itakubidi utafte chimbo tu uwe unachuja nafaka.
😁🫠😁
Eti uwe unachuja nafaka
Duh nimecheka
 
MTu anachepuka, anaku abuse emotional...anakupa hela anasepa..no intimacy , hisia zinakufa..ila ye ana enjoy huko nje..ukilazimisha anapanda anamwaga kamaliza analala....
Narcists🙌🏾 Halafu unaambiwa eti akukute na bikra na fyokofyoko kama zote
Halafu unakutana na mtu nje abakubembeleza,yaani romantic...weee
Si ndioo😌 mtu anajua maana ya mwanamke ni nini? Anakupa pumziko hapo ata ute unakujaga wenyewe🤗💃🏽
 
Hizi notion huwa mnazitoa wapi Joseph? Huwa mnalijadili hili kwa eksipiriensi gani?

Au tu ni njia rahisi ya kujustify kwanini ndoa zinasumbua… that’s purely simplification.

Siku moja nikakuta sub thread moja kwenye social platform fulani, mleta post ameuliza “kwa tulioolewa bikra, niambie kwanini unajutia kuolewa, na kwanini you started cheating “ moderator nadhani ni mkenya.

Kulikuwa na comments walau elfu 5, kazi yangu ya umbea nilikuwa nasoma na ku view profile za watu 😅

Nikafanya content &thematic analysis kupitia comments, opinions na patterns… conclusion ikaja hivi: Wanawake wanacheat back sababu ya kuvurugwa na wanaume, common patterns inasema walioolewa wadogo miaka 17/16-20 wakifika miaka 23 wanakuwa wameshaanza kuchepuka… Walioolewa wakubwa 25/30’s wana tendency ya kuishi kwenye ndoa kama wameachika ikiwemo kuchannel muda&energy zao kwenye kazi/biashara na kuchepuka.

However, ukisoma comments za wanaume utagundua walioa bikra wako okay “kuanzisha” mwanamke akianza kuchepuka he will care less, ni kama ule msemo wa nimeanzisha hao wengine watajua wenyewe, purely it’s good for the men’s ego.
Ewaaaa!!
 
Kila mtu anafanya uzinzi kutokana na sababu zake. Wengine ni fantasy tu ila wengine ni sababu ndoa imekosa vibe. Mke hajishughulishi na mumewe au mume hajishughulishi na mkewe. Kujishughulisha Nina maana ya kwamba kupeana mjengo inakuwa kipengele.

Kwa sexually active partner huwezi kuishi na nyege kisa matako mmoja anaona kukupa mali kwa masimango kama anakufaidisha sana, itakubidi utafte chimbo tu uwe unachuja nafaka.
Ila wewee, 😂😂😂
 
Kusema ukweli wa Mungu, mimi wake za watu nawaogopa, na sitakuja kufanya mazoea nao hata siku moja. Wanaume kuna namna tunaheshimiana na kuhurumiana hasa kwenye ishu nzima ya utafutaji; lakini linapokuja swala la kumkula mke wake aaah kula panga au kufanyiwa ukatili wowote ni kawaida.

Hivyo enyi wanaume jambo hili liepukeni kwa gharama kubwa. Na asiwepo wa kujisifia kula wake za watu yatakuja yamkute kisha ataleta ushuhuda hapa kama atafanikiwa kuponyoka.

Mara moja niliwahi kumla mke wa mtu bila kujua, na nilipo jua tu pale pale nilikaka mazoea yote.
 
Back
Top Bottom