cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,896
- 189,512
😂😂😂 mie huyu ndo tulikua wote 4m 6 wakati huo.Nyieee 🤣🤣nimekumbuka nilivyokua form 5
Jmn kuna mkaka akawa ananipenda nikamkataa sbb alikuwa kamuacha mdada palepale shule
nilikuja kumkubali nikiwa 1st yr ye 2nd yr
Jmn nilishangaa kidude kidogooo🙌🫣sijui ni nn au maumbile sikuelewa
Yaan nilivyokua namhusudu yule mkaka, siku ya kwenda kusukumwa nyama, nilijipanga vilivyo kwa show kabambe.
Nilichokutana nacho, tobaaah!!
😂😂😂