binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,167
- 34,625
Mwaya, watu 8 ameeleza kuwa wao ni victim… maana yake ni kwamba kama ni umalaya wa kwanza kuunza ni mwanaume, to be fair kwanini mwanaume asivunje kwanza ndoa ndio aendelee kudeal na multiple partners outside wedding lock?Umalaya ndo sababu hakuna cha victim.
Asiye malaya anavunja mahusiano ndo aendelee na mahusiano mapya kinyume na hapo ni uhalalishaji tu wa kufanya umalaya.
Kitu hatutaki kukijadili ni kwamba wanawake wame-mirror tabia za wanaume zao na wameamua waishi kama wao.
Na pia jamii haijadili kabisa suala la watu kuoa lakini hawana mpango wa kuwa “waume “ mtu anaoa halafu anataka aishi kama bachela…. Kwa hizi mentality ndoa zitasumbua sana huu ni mwanzo tu.