Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Hapana,

Lakini ndio yanayoendelea, am i supposed to be denialist or realistic? Hebu tuwaze pamoja. Mleta mada kauliza sababu ya wake za watu kucheat na mi nimemjibu.
Umemjibu vema sana, ila ninewaza tu, je kuna sababu yoyote inamfanya mtu kuchepuka, iwe me au ke?

Jibu ni hapana kama ulivyosema, ila binadamu kama kawaida yetu, kutupla lawama kwa mwingine, Adam alianzisha huu utaratibu wa kutoa lawama kwa mwingine, nasi tunaiga tu.

The best option is to quit, mbona wazungu wengi wanaweza, sisi tunashindwa nini? If I'm no longer in love with Atoto 😅 natakiwa nimwambie ili taratibu za kuachana zianze. Njoo bongo sasa, utapangwa na wenzako muwe kumi...😆
 
sio wanaume wote ni wabaya kwamba wake zao wamechukua tabia hizo, wanaume wanao gongewe wake zao ni watu wapole wanaowapenda wake zao tena hata kuchepuka hawachepuki, shida ya wanawake wanatamaa saba

wanawake mkienda hivyo ndugu mtazamaji utafikiwa
Suala la tamaa nimelieleza kwenye post yangu ya kwanza , na nimesema kabisa kuna kundi la wachepukaji hawateteeki 😅
 
Huu ni uongo ambao mnapeana wanaume huko vijiweni kwenu, na sio uhalisia.

Cha ajabu sasa, hao wanawake wasiokubalika kwenye jamii ya wanaume, hawateseki wao, wanateseka wanaume wanaokataa kuwakubali wanawake hao.

😂😂😂 Waja mbona hamuelewekiii?
Kwanza tuelewane kwamba mwanamke asiyekubalika ni mwanamke Malaya, sio mwanamke single mother, siyo mwanamke asiye na bikira, Mwanamke malaya.

Nikisema mwanamke malaya nadhani unanielewa. Tulielewana hapa tunaweza kuendelea.
 
Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?

Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka

With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua

Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida

Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Unachosena Ni kweli tupu..
 
Ndio ukweli wenyewe kubali kataa,rate ya kugongewa kwa mwanamke asiye bikra ni kubwa uwe unajiamini au laah haiondoi. Bikra unaweza ukamkunja wewe mwenyewe, hajui kibamia wala muogo wa jang'ombe, haijui hela ya mwanaume inafananaje, hajui mambo mengi ya kiulimwengu yanaendaje, wewe mwanaume ndio unakuwa mtu wa kwanza, unamwelekeza,unamfundisha awe na uelekeo/tabia unazo taka wewe.

Sasa unamkuta mtu anazijua ndefu,fupi,zilizopima kuelekea pande zote za dunia, najua bata,viwanja nk ,huyu changamoto ndogo ya kifedha,tatizo la kiafya,performance kitandani ikipungua ,kaa ukijua huyo anasilimia kubwa kukukimbia, ndio maana nikasema "unajenga tabia mwisho tabia nayo inakujenga ",tabia ni kama ngozi ya mwili kuibadili ni kazi sana.
Hahaha, mkuu unaongelea kutokujua kibamia kwa mwanamke anayeishi 2026? rudi kwenye uhalisia mkuu, hizi si enzi zetu za kuandikiana barua za uchumba, sasa hivi mwanamke kuyaona maumbile ya mwanaume na kulinganisha na mumewe kunahitaji kukutana live na mwanaume?
 
Two wrongs don't make it correct. Mwanaume anaechepuka ahukumiwe yeye binafsi kama mwanaume, na mwanamke anaechepuka ahukumiwe yeye binafsi kama mwanamke. Kusiwe na upande mmoja wa kuhalalisha uchepukaji wao kwa kurusha lawama upande mwingine. Je wanaume tukinywa sumu nanyi mtakunywa? jibu ni hapana, hii maana yake wanawake mnajua kipi chema kipi kibaya bila kujali mwanaume kafanya nini
Sasa mbona kelele au lawama zinajitokeza kwa wanawake wanao chepuka, ila kwa wanaume aaah.

Ndo maana yanajitokeza haya.
Kwanza tuelewane kwamba mwanamke asiyekubalika ni mwanamke Malaya, sio mwanamke single mother, siyo mwanamke asiye na bikira, Mwanamke malaya.

Nikisema mwanamke malaya nadhani unanielewa. Tulielewana hapa tunaweza kuendelea.
Yess ni mwanamke Malaya, haya tuendelee sasa.
 
Means kwamba hata ukiolewa na ukipata mwanaume aliyemzidi mumeo jambo fulani, lazima uchepuke.

Nipo sahihi hapo?
Not at all, Nimetaja makundi ya wachepukaji, na nikachagua wakuwatetea, maana yake hao ndio naweza vaa viatu vyao, kwa msingi huo jibu langu linaangukia kwa hilo kundi.
 
Not at all, Nimetaja makundi ya wachepukaji, na nikachagua wakuwatetea, maana yake hao ndio naweza vaa viatu vyao, kwa msingi huo jibu langu linaangukia kwa hilo kundi.
Ndo namaanisha kwamba, kama ww umeolewa na ikatokea hayo unayoyasema n Sahihi wao kuchepuka, hvy na ww pia utachepuka?
 
Back
Top Bottom