Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Ukipata fedha/cheo/mamlaka lazima makucha utayaonyesha, wakati mwingine umasikini unatuepusha na vitu vingi.
Upo sahihi, ila bado mwanaume anaweza kulombana na mwanamke ambaye hampendi maybe n kutokana na kumtamani tuu ila sio kwa wanawake wanaojisahau wakianza kuchepuka.
 
Upo sahihi, ila bado mwanaume anaweza kulombana na mwanamke ambaye hampendi maybe n kutokana na kumtamani tuu ila sio kwa wanawake wanaojisahau wakianza kuchepuka.
Maandiko yanasema, tuishi nao kwa akili.
 
Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?

Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka

With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua

Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida

Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Nimejaribu kusoma maoni ya Wananchi wenzangu humu wengi wamejaribu kushare uzoefu kuhusu mada tajwa na wengine kupendekeza possible solutions ili kupunguza risks/athari za uchepukaji nami naomba nichangie kidogo.

Kuna ugonjwa mmoja ndani ya Nafsi ya Mwanadamu unaitwa "Ubinafsi"(Selfishness) yaani mtu kujiona yeye ni bora zaidi kuliko mwingine.

Mgonjwa wa ugonjwa huu asipotibiwa especially kabla hajaingia kwenye Ndoa ili awe anamuona mwenzake ni bora kuliko Nafsi yake nawahakikishia 100% lolote litatokea at any time T.

Kulingana na majukumu yangu ya kijamii(Kiroho & Kisaikolojia) na kesi ninazoletewa kuhusu malalamiko yaliyo ndoani ikiwemo "Kukinaiana plus Uchepukaji" sababu kuu ni kwamba Nafsi za hawa watu hazikuponywa ugonjwa mbaya kuliko magonjwa yote duniani kwenye Nafsi ya Mwanadamu uitwao "Ubinafsi"(Selfishness).

Ile hali ya kumpenda Mke au Mume kama Nafsi yako naturally wengi hawana kwa sababu mizizi ya Ubinafsi imetamalaki ndani yao.

Sasa,kwa sababu Mimi ni Mathematician pia,huwa siangalii tu tatizo na kuliacha hewani. Lazima nichimbe ndani sana kwamba solution yake ni nini?.
Nimejaribu kuangalia suluhisho la kudumu la watu kuondokana na Ubinafsi ni nini. Nimegundua ni watu kumpokea Yesu Kristo mioyoni mwao ili awaambukize(awamiminie) Sacrificial Love(UPENDO wenye asili ya kujitoa sadaka kwa ajili ya ustawi wa wengine) ndio maana ukiniona nipo busy kumuhubiri Yesu Kristo nyumba kwa nyumba au mtaa kwa mtaa usidhani nimekosa kazi za kufanya au nati kichwani mwangu zimelegea la hasha!. Nakuwa napambana kuuondoa ugonjwa mbaya zaidi duniani uitwao UBINAFSI.

Nawaibia siri Mke wangu huwa anahofia sana Mimi kutangulia kufa. Mwanzoni nilijua anatania ila kadiri siku zinavyozidi kwenda nimegundua yupo serious na hofu yake hiyo. Basi Mimi huwa namfariji kwamba siku Mungu ataponiambia "aga kwa maana muda wako wa kuishi duniani umekwisha",nitamwomba akuandae kuishi bila Mimi kwanza. Guess what🤣🤣🤣🤣huwa hanielewi kabisa na wala huwa hataki kuelewa. Kuna UTAMU usioelezeka mioyo miwili iliyoponywa ugonjwa wa Ubinafsi na Yesu ikiungana.

Wale niliowakwaza nisameheni bure maana nimeshindwa kabisa kuvunga kushare UKWELI huu ambao kwa wengine utaonekana ni mchungu.

Wito wangu. Kama kuna mtu au watu humu mmepewa Karama ya kumuhubiri Yesu Kristo hasa kwa vijana ambao hawajaingia Ndoani bado,nawaombeni sana muhubirini Yesu kwa bidii zote. Kwa sababu bila yeye hakuna suluhisho la kudumu la ugonjwa wa UBINAFSI ambao ndio chanzo kikuu cha matatizo mengi sana hapa duniani. Mkilala tu,huko mbeleni suala la NDOA litabaki makumbusho!
 
Naelewa…. Naelewa kabisa na nimeshaandika mara kadhaa humu kuwa ni ngumu sana kubadilisha Jamii kimtazamo.

But again, hao wanawake nawatetea sababu they are only trying to survive this tragedy, kucheat back ni surviving skills . Wanaume kuna muda mtuhurumie, imagine unatakiwa umpikie, umjali, umnyenyekee na umpe show mtu ambaye jana ametoka kuto**ana nje huko, si mara moja si mara mbili.

The riskiest survival strategy. Hapo ni kuishia kuzalishwa tena na kubwagwa - achilia mbali magonjwa, verbal & physical abuses etc. No wonder wanawake wengi wanaongoza kwa maambukizi. Solution ni simple tu: Leave the marriage.
 
Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?

Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka

With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua

Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida

Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Hivo ndivyo mkeo ataliwa ikiwa bado hujaoa
 
Ok, nisikaze fuvu maana jamii kweli imebadilika kama kuna vijana wa kiume wanakimbiwa na mke sababu wametongozwa na wanaume wakakubali na kujengewa nyumba wazi wazi kabisa sembuse hili? Inawezekana.
😂😂😂 umeona sasa? Tunaongea lugha 1 eeeh.
 
Hawajui mtu anavyokuwa anatamani size anazoziona kwenye tv azionje! Na za mitandaoni zinavyong’aa vzr kuliko live🤥
😂😂😂 nimecheka km mwehu, jojoro zinapigwa filter zinawaka hatarii.

Zione live sasa, zimepauka na kufubaa, hata ladha ya mshiko hazina.
Mxiiiieeeew
 
Kwanini hatuwezi kumwajibisha mwanamke binafsi kwa matendo yake bila kurusha lawama kwa mwanaume.

Vipi wanaume wanaochepuka tatizo ni wake zao au kwa wanaume kuchepuka ni tamaa? yaani mwanaume akichepuka kosa ni la mwanaume, mwanamke akichepuka kosa ni la mwanaume.

Lets make women accountable for their bad decisions.

Kwa sababu mwanamke hawezi exist pasipo mwanaume...

Hapa yanatajwa mahusiano wanayofanya wake za watu sio wanawake wote...
 
😂😂😂 nimecheka km mwehu, jojoro zinapigwa filter zinawaka hatarii.

Zione live sasa, zimepauka na kufubaa, hata ladha ya mshiko hazina.
Mxiiiieeeew
Sasa imagine uwe bikra afu umeishia kuonja kipilipili cha mmeo, unakutana na soft copy moja imepigwa futa hilo inang’aa😂🤸🏽‍♀️ Unachomoa??
 
bora mbobezi wa mambo kashafanya ameshatulia,bikra unaoa bikra eti bikra akishajua utamu unapatikana vipi si ndiyo kukigawa kila

shida kaka wanakuja kuwa na viburi baadae ,formula nzuri ya kupata mke mzuri tu achana na mke bora ni kuwa na uvumilivu kuacha papara ya kutafuta kuwa busy na maisha mtu mzuri atakuja tu ,shida wanaume huwa tunatakaga mambo kwa pupa umekutana na demu leo kesho unataka kuoa,
Simple tu swali langu jepesi, "why ndoa za zamani haijalishi za kidini au kimila zilikuwa zinadumu kuliko za sasa".?

Manake nakuona unatizama lkn hauoni. Ndoa sio ajira useme unataka mzoefu.
 
Sasa huwezi tumia probability kwenye afya yako ya akili mkuu, ili uwe timamu we jua tu No guarantee ya mwanamke kuwa loyal kwako hata kama ulimkuta bikira. Yaani inawezekana kabisa mwenzio akaoa single mother na asipate tatizo la uzinzi japo probability hampi favour ila wewe ambaye inaku favor ukapigwa matukio.

Ukitumia probability kujiaminisha kuwa sababu ulimchukua bikira basi kwa % kubwa umezuia uzinzi ujue una uwezekano wa kupata bipoler kali mno iwapo lolote litatokea.

Ndo pale unakuta kijana hataki kukubali kuwa mkewe ni malaya na ukweli wote upo hapo mbele yake anapigwa tu na vitu vizito. Marafiki wooote wanajua na pengine weshatunukiwa kasoro yeye tu ndo haoni na akipewa hint haelewi sababu kisaikolojia alishajiaminisha kutoa bikira kumempa kinga.
Simple tu swali langu jepesi, "why ndoa za zamani haijalishi za kidini au kimila zilikuwa zinadumu kuliko za sasa".?

Manake nakuona unatizama lkn hauoni. Ndoa sio ajira useme unataka mzoefu.
 
Back
Top Bottom