Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,115
- 126,087
Usikute Ndo Huyo jamaa anayeiomba kwa vitaMungu ananiumbia😅
Mpe hata anuse harufu 😂
Usikute Ndo Huyo jamaa anayeiomba kwa vitaMungu ananiumbia😅
Asiwaze sana ntamtumia soft copy kesho😃Usikute Ndo Huyo jamaa anayeiomba kwa vita
Mpe hata anuse harufu 😂
Uje pm kwa maelezo zaidKwaheri mkuu
Soft copy n Sawa na anaangalia x 😂Asiwaze sana ntamtumia soft copy kesho😃
Njoo tulale baby wangu achana na huyo mangi atakunyima pumzi ufe bureKwaheri mkuu
kuwaailisha hoja za mapenzi na kutumua business model huo na ni uoga🤣🤣 kwanini hufunguki direct unamuogopaNdugu zangu nje moto ndani moto, siku hizi umalaya umezidi. Muda huu nimetoka kutoa tamko la kuchukua hisa zangu.
Yaani mapenzi ya siku hizi uji moto bakuli moto.View attachment 3555233
kuwasilisha hoja za mapenzi na kutumua business model huo na ni uoga🤣🤣 kwanini hufunguki direct unamuogopaNdugu zangu nje moto ndani moto, siku hizi umalaya umezidi. Muda huu nimetoka kutoa tamko la kuchukua hisa zangu.
Yaani mapenzi ya siku hizi uji moto bakuli moto.View attachment 3555233
Labla hy ndo mbinu ya vita zake, unaambiwa baada ya hilo shambulizi binti akawa mpole 😂kuwaailisha hoja za mapenzi na kutumua business model huo na ni uoga🤣🤣 kwanini hufunguki direct unamuogopa
Ah kmmk nimecheka knoma 😂Njoo tulale baby wangu achana na huyo mangi atakunyima pumzi ufe bure
bibie amekuelewa na old school zako vuna ulichokipandaNachukua nn mm 😂
N Sawa na kusema mm naishi USA, siishi duniani.
Umalaya n umalaya tuu, utoe kwa jero au bilioni bado huo n umalaya
Imagine hayo maneno yakiongelewa na mwanamke na vidole viwili juu 😂Njoo tulale baby wangu achana na huyo mangi atakunyima pumzi ufe bure
Nilikwambia huyo ni shemeji yako husikii mkuu,Ah kmmk nimecheka knoma 😂
bibie amekuelewa na old school zako vuna ulichokipandaNachukua nn mm 😂
Nna pigo za 1800's au sio 😂bibie amekuelewa na old school zako vuna ulichokipanda
Nakubali mkuu 😂Nilikwambia huyo ni shemeji yako husikii mkuu,
Wanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu.Umalaya ni nini? Umalaya ni tabia ya kutembea na zaidi ya mpenzi mmoja, inaweza kuwa ni katika mazingira ya kujipatia kipato au kuridhisha nafsi. Swali, ni wangapi humu wako na mpenzi mmoja tu? Kama yupo, anyooshe mkono juu.
Je na sisi wanaume tuko na mpenzi mmoja tu? Tuanze na weweWanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu.
Hakuna wa kunyoosha Hata ukucha juu
Atajikaza tu hakuna jinsi😅Soft copy n Sawa na anaangalia x 😂
Mm sina mpenzi.Je na sisi wanaume tuko na mpenzi mmoja tu? Tuanze na wewe