Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Hawajui mtu anavyokuwa anatamani size anazoziona kwenye tv azionje! Na za mitandaoni zinavyong’aa vzr kuliko live🤥

bora mbobezi wa mambo kashafanya ameshatulia,bikra unaoa bikra eti bikra akishajua utamu unapatikana vipi si ndiyo kukigawa kila kona
 
sasa unaombaje upate mtu sahihi na unaanza kuchagua kabla hujaletewa na Mungu ,hizo sifa hapo ni kwa mwanamke dunia ya kileo kupata mwanamke wa hivyo kama maandiko yalivyopigia mstari ni kazi sio ndogo,halafu msidanganyike wanaume wa makanisani ndiyo wanaume bora utajuta utasema bora wahuni wa kitaa
Unaomba ukiw ana jimbo wazi, ukiomba uku una wako kichwani ni ngumu kufanikisha! Na akija seremala humtaki unataka wa bot inakuwa kasheshe🤸🏽‍♀️
 
Ushajiuliza why na tumia neno probability?

Bikra sio kwamba hakengeuki, ila unapunguza probability ya kugongewa. Ukichukua sample ya bikra na wasio na bikra, then ukicalculculate basi kuna probability ndogo ya kugongwa, kulio ambaye sio bikra. Ila ndio jamii tunayo iona sasa hivi, kugongewa/kuchepuka kawaida, ndoa kuvunjika kawaida, migogoro kibao . Wewe unazani why ndo za zamani zilikuwa imara kuliko za sasa na tena nyingine zilikuwa za kimila.
Sasa huwezi tumia probability kwenye afya yako ya akili mkuu, ili uwe timamu we jua tu No guarantee ya mwanamke kuwa loyal kwako hata kama ulimkuta bikira. Yaani inawezekana kabisa mwenzio akaoa single mother na asipate tatizo la uzinzi japo probability hampi favour ila wewe ambaye inaku favor ukapigwa matukio.

Ukitumia probability kujiaminisha kuwa sababu ulimchukua bikira basi kwa % kubwa umezuia uzinzi ujue una uwezekano wa kupata bipoler kali mno iwapo lolote litatokea.

Ndo pale unakuta kijana hataki kukubali kuwa mkewe ni malaya na ukweli wote upo hapo mbele yake anapigwa tu na vitu vizito. Marafiki wooote wanajua na pengine weshatunukiwa kasoro yeye tu ndo haoni na akipewa hint haelewi sababu kisaikolojia alishajiaminisha kutoa bikira kumempa kinga.
 
Hawajui mtu anavyokuwa anatamani size anazoziona kwenye tv azionje! Na za mitandaoni zinavyong’aa vzr kuliko live🤥

bora mbobezi wa mambo kashafanya ameshatulia,bikra unaoa bikra eti bikra akishajua utamu unapatikana vipi si ndiyo kukigawa kila
Bikra sio kwamba hakengeuki, ila unapunguza probability ya kugongewa. Ukichukua sample ya bikra na wasio na bikra, then ukicalculculate basi kuna probability ndogo ya kugongwa, kulio ambaye sio bikra. Ila ndio jamii tunayo iona sasa hivi, kugongewa/kuchepuka kawaida, ndoa kuvunjika kawaida, migogoro kibao . Wewe unazani why ndo za zamani zilikuwa imara kuliko za sasa na tena nyingine zilikuwa za kimila.
shida kaka wanakuja kuwa na viburi baadae ,formula nzuri ya kupata mke mzuri tu achana na mke bora ni kuwa na uvumilivu kuacha papara ya kutafuta kuwa busy na maisha mtu mzuri atakuja tu ,shida wanaume huwa tunatakaga mambo kwa pupa umekutana na demu leo kesho unataka kuoa,
 
Unaomba ukiw ana jimbo wazi, ukiomba uku una wako kichwani ni ngumu kufanikisha! Na akija seremala humtaki unataka wa bot inakuwa kasheshe🤸🏽‍♀️
ukija kuangalia hivi jua limezama
 
Kama ukimuomba Mungu akuondolee mtu kama sio sahihi kwenye maisha yako haipiti siku anaodnolewa, sembuse kuomba mtu sahihi? Omba kwa kumaanisha mbona unampata vzr tu.. sema mi sipendagi wanaume wa makanisani ila wapo!!
Kwanza uwapende wanini eti? Wakati Mimi nipo, alafu hao wanaume wa kushinda makanisani wanakuwaga na matatizo sana ndio maana Mimi nikapewa wewe Yani tunaendana Hadi r
Never! Heri nitawaze kuku moguu kuliko kumpa 🤥 pesa🙌🏾
Bora umewaambia ukweli🥰hawajui pesa zako ni kwa ak
Jli ya wewe namimi tu
Hivi kabila gan ww? Sio muha kweli?
Hapana sio Muha, ila watoto wetu watakua ni wakurya
 
Kwanza uwapende wanini eti? Wakati Mimi nipo, alafu hao wanaume wa kushinda makanisani wanakuwaga na matatizo sana ndio maana Mimi nikapewa wewe Yani tunaendana Hadi r

Bora umewaambia ukweli🥰hawajui pesa zako ni kwa ak
Jli ya wewe namimi tu

Hapana sio Muha, ila watoto wetu watakua ni wakurya
Haiombwi Hivyo.

Nenda kwa ustaarabu tuu utapewa.

Na kama hana nia ya kukupa, utaendelea kupiga domo JF mpaka meno yatoe jasho.

Hakuna haja ya kuingilia comment usizoelewa
 
bora mbobezi wa mambo kashafanya ameshatulia,bikra unaoa bikra eti bikra akishajua utamu unapatikana vipi si ndiyo kukigawa kila
Unajifanyia zako makila kitu ukikaa umekaa, unaanza kuzoom wengine wakifanya marufio! Sasa kaokoteze limbukeni in the name of kametulia sana🥴 upandishwe sukari ukome😂
 
Kwanza uwapende wanini eti? Wakati Mimi nipo, alafu hao wanaume wa kushinda makanisani wanakuwaga na matatizo sana ndio maana Mimi nikapewa wewe Yani tunaendana Hadi r

Bora umewaambia ukweli🥰hawajui pesa zako ni kwa ak
Jli ya wewe namimi tu

Hapana sio Muha, ila watoto wetu watakua ni wakurya
Weee wakurya tena! Mapanga yatahusika hapa⚔️
 
Haiombwi Hivyo.

Nenda kwa ustaarabu tuu utapewa.

Na kama hana nia ya kukupa, utaendelea kupiga domo JF mpaka meno yatoe jasho.

Hakuna haja ya kuingia comment usizoelewa
Mkuu mbona unanisagia kunguni
 
Back
Top Bottom