Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,902
Vuta picha umezaa midume mitano halafu yote mishoga imeolewa,unadhani hapo hiyo nguvu kazi ya taifa tutaipata vp ikiwa watu hawazaliani kwa sababu ya ushoga? Ukianga wale ambao ushoga umewaathiri kabisa hawana tofauti na mateja na ni zaidi ya wanawake jinsi walivyo.UKIFA AU UKIWA TEJA UTAPUNGUZA NGUVU KAZI YA TAIFA NA UTALETA ATHARI KWA WANAOKUTEGEMEA.
FIKIRI KAMA TUNA MATEJA ISHIRINI AMBAO HUENDA WANGEKUWA WANAJISHUGHULISHA NA SHUGHULI ZA BIASHARA NA UZALISHAJI MALI? HUONI HIYO NI HASARA KUBWA?
ZAIDI SANA, BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA INASABABISHA FEDHA CHAFU NA KUDUMAZA UZALISHAJI WA HUDUMA NA BIDHAA HALISI KITU AMBACHO NI HATARI KWA UCHUMI WA NCHI.
KWA MSINGI HUO, MADAWA YA KULEVYA NA USHOGA NI VITU VIWILI TOFAUTI VISIVYOFANANA KWA NAMNA YOYOTE.
Kuna kazi zishindwa kufanyika kama vijana wa kiume wenyewe ndio type za wale mashoga tunaowaona kwenye mitandao wakijiuza.
♂️