Semistocles
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,932
- 1,126
- Thread starter
- #41
SIKU HIZI TUNATUMIA MASIKIO KUVALIA MIWANI.Mwili wa mwanadamu una matundu 7.
Pua (2) :iko wa ajili ya kuvuta hewa na kunusa.
Masikio (2): kusikia.
Mdomo: kupitisha vitu vinavyoingia tumboni hasa chakula na vinywaji.
Tundu la uke au Uume: kukojoa manii (Mwanaume)/mkojo na mwanamke hutumia kwa ajili ya uzazi pamoja na kukojoa.
PURU: BAADA YA MWANADAMU KULA CHAKULA, MABAKI HUTOKA NJE KUPITIA PURU. sasa vuta picha umekuta Baba yako anatumia PURU lake kuingiziwa uume utajiuliza anataka kuzaa au anataka kutoa chakulataka kwa kutumia mdomo!