- DAWA YA MASHOGA, WASAGAJI, WAZINIFU. HII HAPA.
Pale mtu anapoumwa ugonjwa huwa anahitaji dawa au matibabu, lengo la kuhitaji matibabu ni ili kuondoa ugonjwa, na ugonjwa hauwezi kuondoka bila dawa. Lakini katika matibabu hayo ziko dawa ambazo huwa zinafeli kuondoa ugonjwa, lakini pia zipo dawa ambazo zinafanya kazi kwa ufanisi mkubwa sana na matokeo ya kuondoa ugonjwa ni asilimia kubwa.
Mimi leo nakupa dawa ya USHOGA, USAGAJI, UZINIFU NAKILA NAMNA YA UOVU UNAOFANANA NA HAYO.
Haya unajua ni matatizo sugu sana kwa wanadamu, na wanadamu wengi huwa yanawakela sana, na hata selikari haiyataki yawe yanafanyika katika jamii. Mana yanahalibu tabia nzuri za watu wengi na si usitarabu wala kawaida yetu hasa sisi waafrika. Pia matendo na tabia hizi zinawakela wengi na ni Miongoni mwa dhambi mbaya sana mbele za Mungu.zinazosababisha laana na maangamizo kwa wanadamu. Mfano nyakati za sodoma na gomola ndizo dhambi zilizochochea hasira ya Mungu na kuangamiza ile miji ya sodoma na gomola kwa moto na kiberiti. Hu hu USHOGA, USAGAJI, ULAWITI, UZINIFU NA KILA NAMNA YA UOVU. kama una biblia angalia hapa.
(mwanzo 19:4-25Hata kabla hawajalala, watu wa mji, wenyeji wa Sodoma, wakaizunguka nyumba, vijana kwa wazee, watu wote waliotoka pande zote.Wakamwita Lutu, wakamwambia, Wa wapi wale watu waliokuja kwako usiku huu? Uwatoe kwetu, tupate kuwajua.) haya matendo si kushusha tu hasira Mungu, lakini ni matendo yanayosababisha laana mbaya kwa wayafanyayo, na kwa nchi pia. Pale yanapoachwa yaendeelee bila kupingwa na kukemewa. (angalia pia hapa warumi 1:26-27) kadili siku zinavyozidi kwenda ndivyo matendo haya yanazidi kupata washabiki na waungaji mkono. Wapingaji wapo, lakini wanazidiwa na waungaji mkono kwa kisingizio cha haki ya binadamu, Na kila mtu anao uhuru wakutumia mwili wake atakavyo. mbona wavuta bangi na madawa yakulevya., majizi, vibaka nk. Nao si wanautumia mwili wao kama watakavyo. Nao waungwe mkono basi, ili watumie miili yao kwa uhuru. Unajua, pale unapomtetea SHOGA, MSAGAJI, NA MZINIFU NK manake nawewe uko hivo kama huyo alivyo. Na tena wewe unayewapinga wafanyao hayo ukisema wafungwe gelezani bado si dawa. Ndo mana wengi wakitoka jela, bado wana endeleza- Matendo yao maovu. Najua unatamani kujua dawa ya hawa watu ni ipi.
Dawa hii inafanya kazi %100 na imebadilisha wengi na imekuwa inabadilisha wengi, tangia waanze kuitumia. Mimi mwenyewe imenibadilsha na sasa ni mpya si yule wa zamani tena. Dawa hii unakunywa mlengwa peke yako bila kuangalia wengine wanakunywa au wanatema, inakuhusu wewe unayesoma hapa, sio yule unayemjua. Wewe si unajijua jinsi ulivyo, kunywa dawa hii na matokeo ni dhahili. Ukiinywa lazima uwe tayari kufuata mashariti ili iendelee kufanya kazi sawasawa.
Kinachomfanya mtu Azini, afnye usagaji au awe Shoga au afanye lolote tendo ovu ni kile bibblia insema MALADHI YA MOYO. nikisema maladhi ya moyo utadhani ni ugonjwa wa moyo huu wakawaida, hapana simanishi hivo. Namanisha MALADHI YA MOYO YANAYO MFANYA MTU AFANYE MATENDO MABAYA KAMA USHOGA, USAGAJI, UZINIFU NA HATA NAMNA ZOTE ZA DHAMBI ALAFU YEYE AFURAHIE HATA KAMA KWA WENGINE AU KWA MUNGU NI MACHUKIZO. HAYO YANAITWA MALADHI YA MOYO. angalia hapa katika biblia(1wafalme 8:38-39maombi yo yote au dua yo yote ikifanywa na mtu awaye yote, au na watu wako Israeli wote pamoja, watakaojua kila mtu maradhi ya moyo wake, na kuikunjua mikono yake kuielekea nyumba hii;
basi, usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukatende, ukampe kila mtu kwa kadiri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote))
Haya maladhi ya moyo hayaponywi wala kutibowa katika hospitali yoyote ile duniani, .mana hata madakitari hawa wengine nao wanayo haya MALADHI YA MOYO. Dakitari bingwa wa haya maradhi haya ya moyo ni mmoja tu TABIBU WA AJABU YESU KRISTO, Ndomana biblia inasema yeye alijalibiwa bila kufanya dhambi. Waebrania 4:14-15Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, na tuyashike sana maungamo yetu. Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.
Dawa hii inafanya kazi kwa wewe kujua ni mwenye dhambi na umekosa mbele za Mungu na wanadamu pia, huwezi kuzishinda hizo dhambi, manake wewe ni dhaifu. Huwezi kwa nguvu zako kuacha USHOGA, USAGAJI, UZINIFU NA DHAMBI ZINGINE ZOTE. alafu UNATUBU DHAMBI HIZO KWA DHATI NA KUMWAMBIA BWANA YESU AKUSAMEHE NA KUKUPA KUZISHINDA, UWEZO WAKUSHINDA USHOGA, USAGAJI NA UZINIFU NA KILA NAMNA YA UOVU UNAPATIKANA BURE KWA YESU. Dini yako haitakusaidia hata, elimu yako haitakusaidia, hata ukipewa adhabu kali yoyote haitasaidia. ukishitakiwa na ukafungwa gerezani bado haitasaidia. Lakini ukinywa dawa hii UTAPONA MALADHI HAYO, angalia hawa
Tito 3:3-5 Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.
Lakini wema wake Mwokozi wetu Mungu, na upendo wake kwa wanadamu, ulipofunuliwa, alituokoa;
si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake, kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu;
Ni dawa bora sana sana. Wote tulioinywa imefanya kazi. Kunywa dawa ya USHOGA, USAGAJI, UZINIFU NA KILA NAMNA YA UOVU.
TUBU LEO DHAMBI UPONE BURE.
Baada yakuinywa njoo katka kanisa la full gospel bible felowship. Tupo kila mahali tz, au tembelea
www.fgbfchurch.org
KUNYWA DAWA UPONE