vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 868
Tunajua sio jambo zuri kwa hiyo ulifurahia walivyokamatwa na kuaibisha kwenye vyombo vya habari hili nalo umeliona ni jambo zuriWala sijasema habari za kitabu cha Dini mimi. Nimetumia tu akili ya kawaida kuwa ushoga si jambo zuri.

Naona unaniwekea mizigo mizito kichwani. Kwani nimemtetea Dudu mim?