Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Huo ni ubaguzi. Kwanini uone bora mwanamke malaya lkn sio shoga?
Ina maana hakuna madhara kwa mwanamke akiwa malaya.
Ni sawa na kusema bora mwanamke afumuliwe marinda na si mwanaume. Kitu ni kile kile
Sijasema kiubaguzi ila kama umewahi kumuona mwanaume aliyeathiriwa na ushoga utaona amepitiliza hadi ule uwanamke,mwanaume shoga ni legevu kuliko hata mwanamke.

Hasara za mwanaume wa aina hiyo ni afadhali ya mwanamke malaya.
 
Madawa ya kulevya natumia mwenyewe yananiathiri mwenyewe lakini yanapigwa marufuku kwanini.?

Uhuru unamipaka yake si kila kitu uwe huru tu kufanya unachotaka maana uhuru unaweza kukutumu kuua mwanao au mke/mume, au kujiua mwenyewe.
MADAWA YA KULEVYA YANAATHIRI NGUVU KAZI YA TAIFA, NA KULETA MADHARA KWA WATEGEMEZI WA MUHUSIKA.

LAKINI ZAIDI MADAWA YA KULEVYA YANAATHIRI UCHUMI WA NCHI KWA KUSABABISHA FEDHA CHAFU NA UDUMAVU WA UZALISHAJI WA HUDUMA NA BIDHAA HALISI.

HIYO NDIYO FALSAFA JUU YA KUZUIA MADAWA YA KULEVYA.

USHOGA JE?
 
MADAWA YA KULEVYA YANAATHIRI NGUVU KAZI YA TAIFA, NA KULETA MADHARA KWA WATEGEMEZI WA MUHUSIKA.

LAKINI ZAIDI MADAWA YA KULEVYA YANAATHIRI UCHUMI WA NCHI KWA KUSABABISHA FEDHA CHAFU NA UDUMAVU WA UZALISHAJI WA HUDUMA NA BIDHAA HALISI.

HIYO NDIYO FALSFA JUU YA KUZUIA MADAWA YA KULEVYA.

USHOGA JE?
Ushoga ni pia inapunguza nguvu kazj ya taifa, mbegu iliopaswa ikarutubishwe na yai la mwanamke ikatuletee nguvu kazi ya taifa la kesho inaenda kupotea kwenye mk.nd.u wa mwanaume.
 
Kuffir. Wanawake hawaoni hajabu, ndo maana mi sioni tofauti mwanaume au mwanamke anayefir.. kwasababu vinyeo ndo vinatumika
HAPA NI MAAJABU TU MKUU.

MAANA HATA WANAOWAFIRA WAKE ZAO WANA UJASIRI WA KULAANI USHOGA.
 
Mkuu hujamwelewa mtoa mada, kwani kwenye kitabu cha dini yako kimesema ukikemea una swahabu au zambi?. Kila mtu apambane na hali yake kwasababu kila mtu atapewa hukumu yake kama yeye na sio kikundi so waache waishi maisha yao as long wanaelewa wanachofanya.
Mimi napinga nitakubalije? Wewe unaetetea nina wasiwasi kuwa wameshapitia tayari kwako.
 
Mkuu hujamwelewa mtoa mada, kwani kwenye kitabu cha dini yako kimesema ukikemea una swahabu au zambi?. Kila mtu apambane na hali yake kwasababu kila mtu atapewa hukumu yake kama yeye na sio kikundi so waache waishi maisha yao as long wanaelewa wanachofanya.
Wala sijasema habari za kitabu cha Dini mimi. Nimetumia tu akili ya kawaida kuwa ushoga si jambo zuri.
 
SASA HAPO KWENYE MAKUBALIANO NDIPO PALIPO MSINGI WA FALSAFA NZIMA YA UTETEZI WA USHOGA.

WATU WAWILI, WENYE UMRI HALALI WA KUFANYA MAAMUZI HURU NA BINAFSI, WANAPORIDHIA KWA HIARI YAO KUTUMIA MIILI YAO KWA NAMNA YOYOTE YA KUFANYA MAPENZI HAWAPASWI KUBUGHUDHIWA.

MWISHOWE WATU WATAKATAZWA MPAKA KUPIGANA DENDA.
Pumbavu kabisa unalinganisha kulana denda na uchafu wa ushoga, unatuletea vilugha vyako vya jurisprudence ili tuamini kwamba na wewe umeenda shule. Mbona wengine tuna shahada za juu kabisa na tumesomea ulaya ambako watu wamebobea kwenye kujenga hoja laghai zenye kushawishi ushoga na ushetani mwingine lakini tumebaki na utashi wetu kichwani
 
Back
Top Bottom