nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Ukipenda kisawa sawa unabadilika. Tatizo watu wako kwenye relationship kimtego mtego. Mimi kuna watu nawajua wamehacha sigara (which is very difficult) kwa kuwa wake zao hawapendi including OBAMA. Ila tabia nyingine ni addiction kwa hiyo kuacha ni ngumu. Zile ambazo ni rahisi kuhacha mimi nashauri mtu ahache tu ndo kupenda. Na ukiona inakuwa ngumu kuhacha hujue hujapenda bado tafuta pengine. Nina rafiki yangu alikuwa mlevi hamna mfano yaani anamaliza nusu kreti bila kulewa na ni msichana. Ukimuuliza anakwambia baba yao aliwazoesha kunywa toka wadogo. Wakati tuko college alikuwa mwepesi kukubali kwenda out na boys sababu wamnunulie bia za bure. Sasa hivi kaolewa na jamaa ambae si mywaji, nae amehacha kabisa. Where there is love nothing is impossile.