Kwanini unibadilishie mfumo wangu wa maisha??!!

Binafsi naona hunitendei haki unapotaka niishi kwa utaratibu unaotaka wewe.
Imagine tumeanza uhusiano, umenikuta nakunywa pombe, navaa vimini, naenda club, nafanya yale yote ninayoona yananifurahisha.
Katikati ya mahusiano unaniambia niache kufanya vitu vyote hivyo yaani nisiende club, nivae hijab na bia iwe soda.
Najiuliza, hapo awali hukuona mabinti wa hivyo hadi ukanifata mimi! Iweje sasa!
Naona watu wengi (wake kwa waume) tunakosea tunapotaka kuwabidilisha wapenzi wetu.
Kuna siku Rafiki yangu wa kiume alinipigia simu anamlalamikia mpenz wake amemkataza aache pombe ila binti mbishi na anajibu hawezi kuacha pombe kwa sababu mwanaume amemkataza.
Nikamuuliza yule rafiki yangu kama tangu awali binti anakata kinywaji akasema ndio.
Nikampa pole na kumpa moyo kuwa ataacha ila nimejiuliza mbona aliingia kwenye mahusiano wakati anajua hiyo tabia inamkera?!
Ni sahihi kumbadilishia mtu utaratibu wake wa maisha tena kinguvu namna hiyo?
Nawasilisha.
Jamani my spanish lady kukukataza kuvaa vimini ndio umeileta mada huku ? una miguu mizuri huwa napata shida watu wanavyokukodolea macho kila tukitoka,kama yule jamaa siku ile iliegongana na mbeba mchemsho na kuungua,yote kwa kukuangalia.
 
mimi naamini kuwa 'change begins with you'
ili mimi nibadilike yapaswa wewe ubadilike
mimi nikiona umebadilika na mimi nitabadilika.simpo.
hakuna kubadilishana hapo,umebadilika mwenyewe, kutokana na mimi (tungo tata i know ila ndo ukweli wenyewe)
they say behaviour breeds behaviour..
wewe huwezi kunambia mimi nisivae kimini wakati wewe unasuka nywele unavaa hereni..change urself first ndo mimi nichange..it applies to tabia zote..huwezi kumbadilisha mtu mzima ila mshauri then achague mwenyewe kubadilika.

Nawasilisha
 
mimi naamini kuwa 'change begins with you'
ili mimi nibadilike yapaswa wewe ubadilike
mimi nikiona umebadilika na mimi nitabadilika.simpo.
hakuna kubadilishana hapo,umebadilika mwenyewe, kutokana na mimi (tungo tata i know ila ndo ukweli wenyewe)
they say behaviour breeds behaviour..
wewe huwezi kunambia mimi nisivae kimini wakati wewe unasuka nywele unavaa hereni..change urself first ndo mimi nichange..it applies to tabia zote..huwezi kumbadilisha mtu mzima ila mshauri then achague mwenyewe kubadilika.Nawasilisha
Sweetdada na Sarafina hawa wanaosuka,kuvaa heleni na kuvaa suruali chini ya makalio ni wanawake wenzenu hao sio wanaume.
 
Jamani my spanish lady kukukataza kuvaa vimini ndio umeileta mada huku ? una miguu mizuri huwa napata shida watu wanavyokukodolea macho kila tukitoka,kama yule jamaa siku ile iliegongana na mbeba mchemsho na kuungua,yote kwa kukuangalia.

usinikataze jamani, mimi hiyo kitu ndio roho inapenda.
Waache washangae ila mali yako. Lol!
 
Dahhh
Si vizuri kutaka kumbadilisha mtu
lakini ni vizuri kwa mtu kutaka kubadilika
kadiri ya maisha yanavyoenda mbele

Khhhaaaaa hembu tuache hayo mambo
umenikuta hivi sitaki unibadilishe...
Mfano Mungu akujalie watoto kwa
Heshima za mama wa kiafrica tunatoka
Kwenye piece moja unaingia kwenye kumi
namaanisha unatoka kwenye bikini unaingia kwenye
shorts..

Saa nyingine mtu anataka ku move
Forward na wewe maishani hataweza kufanya hivyo
Sababu wewe hutaki ku compromise vitu maishani mwako..

Khaaa usinibadilishe umenikuta hivi
kwakweli daahh mie nadhani watu wakisema hivyo
Wanamaanisha personality, physically e.g(punguza unene) na sio miniskert,
sijui bia khaaa hivyo si vya kubadilisha ni vya kuachwa au
kupunguza kabisa..

Ni sawa kuvivaa na kuwa sexy mbele
ya bf, partner,husband and so on
lakini unatakiwa uangalie na situation..
Sio anakupeleka kwenye sherehe kazini kwake
we uko nusu uchi..

Na hizo pombe nazo kunywa kwa ustaarabu
Haya mambo yakupita tusiyape kipaumbele sana jamani
wengi wamepitia.wengine tunapitia.na wengi walipitia..
ni hayo tu

Jumapili njema
God bless.

akili nyingi sana we binti!!laiti wote mngekua na mtazamo huu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom