Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Binafsi naona hunitendei haki unapotaka niishi kwa utaratibu unaotaka wewe.
Imagine tumeanza uhusiano, umenikuta nakunywa pombe, navaa vimini, naenda club, nafanya yale yote ninayoona yananifurahisha.
Katikati ya mahusiano unaniambia niache kufanya vitu vyote hivyo yaani nisiende club, nivae hijab na bia iwe soda.
Najiuliza, hapo awali hukuona mabinti wa hivyo hadi ukanifata mimi! Iweje sasa!
Naona watu wengi (wake kwa waume) tunakosea tunapotaka kuwabidilisha wapenzi wetu.
Kuna siku Rafiki yangu wa kiume alinipigia simu anamlalamikia mpenz wake amemkataza aache pombe ila binti mbishi na anajibu hawezi kuacha pombe kwa sababu mwanaume amemkataza.
Nikamuuliza yule rafiki yangu kama tangu awali binti anakata kinywaji akasema ndio.
Nikampa pole na kumpa moyo kuwa ataacha ila nimejiuliza mbona aliingia kwenye mahusiano wakati anajua hiyo tabia inamkera?!
Ni sahihi kumbadilishia mtu utaratibu wake wa maisha tena kinguvu namna hiyo?
Nawasilisha.
Imagine tumeanza uhusiano, umenikuta nakunywa pombe, navaa vimini, naenda club, nafanya yale yote ninayoona yananifurahisha.
Katikati ya mahusiano unaniambia niache kufanya vitu vyote hivyo yaani nisiende club, nivae hijab na bia iwe soda.
Najiuliza, hapo awali hukuona mabinti wa hivyo hadi ukanifata mimi! Iweje sasa!
Naona watu wengi (wake kwa waume) tunakosea tunapotaka kuwabidilisha wapenzi wetu.
Kuna siku Rafiki yangu wa kiume alinipigia simu anamlalamikia mpenz wake amemkataza aache pombe ila binti mbishi na anajibu hawezi kuacha pombe kwa sababu mwanaume amemkataza.
Nikamuuliza yule rafiki yangu kama tangu awali binti anakata kinywaji akasema ndio.
Nikampa pole na kumpa moyo kuwa ataacha ila nimejiuliza mbona aliingia kwenye mahusiano wakati anajua hiyo tabia inamkera?!
Ni sahihi kumbadilishia mtu utaratibu wake wa maisha tena kinguvu namna hiyo?
Nawasilisha.