aimi lyatuu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 755
- 834
"Ulikuwa umejiandalia majibu haya??!"Umejibu vema sana naweza kusema kuliko wote hapo juu. Umejibu swali hivyo kufuata itifaki. Mmoja ameuliza swali badala ya kujibu swali. Kumbe Kiranga ulikulia katika Ukristo na ulikuwa muhudhuriaji mzuri wa kanisani eeh?! Nimefurahi kufahamu, nime add kitu kichwani.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
"Umemwogopa jamaa??! Mbona kwenye jibu lake maswali kibao?!...."

kumbe dunia ndiyo inazunguka. Galileo aliwasanua wengi mno.