Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
hahahaaaaaaaa kaizer ni kweli wataka kujua!!!!!!
Ndio...nimeleft out
hahahaaaaaaaa kaizer ni kweli wataka kujua!!!!!!
Ndio...nimeleft out
Huwa mnapenda sana kukejeli na kutukana mitume wa wenzenu.kwani yesu alikua anachambia nini mkuu?,au tayari walikua na viwanda vya tissue huko?
habari zenu marafiki?
Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? Kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? Mmmh
wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.
Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
Aniajili mimi, sihitaji anilipe ata sumni yake.Basi ajiri mtu awe anakuchamba kama unahurumia mikono yako

mkuu nifundishe hiyo stailiKuna staili za kukata gogo ambazo ukimaliza wala huhitaji kuchamba, kama ambavyo huwa nafanya mimi, wala huhitaji kuchamba
Habari zenu marafiki?
Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh
Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.
Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
kwanini tunachambia mikono? ulitaka tuchambie miguu?
Ukimaliza kujisaidia usichambe