Kwanini tunachambia mikono?

Kwanini tunachambia mikono?

Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza

Hizo Gloves zitavalishwa kwenye nini kama sio mikono hiyohiyo? Kichwa cha Habari hakijitoshelezi,
 
Mchunguzi huru umesahau kuweka id yako kuwa una Phd ila kuna mtu kanitonya umekuwa associate proffessor
 
izo gloves utazivaa wapi?nyie ndo mnatutia aibutaifa hili punguani we
 
Kimsingi kinyesi kinachotoka tumboni mwako kinakuwa ni salama(fresh) hadi hapo kitakapo kuwa contaminated na wadudu kama nzi na wengineo hivyo kukishika siyo ishu...
 
mimi siwezi kushika mavi hata siku moja,,, toka nizaliwe sijawai jitawaza kwa mikono!!
 
mimi siwezi kushika mavi hata siku moja,,, toka nizaliwe sijawai jitawaza kwa mikono!!

inamaana mkuu huwa hutawazi? Maana km huchambii mikono sidhani km utaweza kuchamba kwa kiuongo kingine tofauti na mkono. Yaani tangu uzaliwe hujatawaza, hiki nacho ni kipaji kinapaswa kuendelezwa (natania)
 
Mchunguzi huru umesahau kuweka id yako kuwa una Phd ila kuna mtu kanitonya umekuwa associate proffessor

Asante kwa kunikumbusha mkuu, nime edit. Nimekuwa Associate Professor mkuu, hii jamiiforums nzima tupo maprofessor wawili tu (mimi na Kitila Mkumbo )
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom