Kwanini tunachambia mikono?

Kwanini tunachambia mikono?

Kuna staili za kukata gogo ambazo ukimaliza wala huhitaji kuchamba, kama ambavyo huwa nafanya mimi, wala huhitaji kuchamba

Ndo Maana Kuna watu tukipishana nao mabarabarani na maofisini wanakuwa harufu vya nnyaaaa...!! Now I understand
 
Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza

Kwasababu hatuchambii ulimi.
 
Maji ya moto ya kunawia hayauwi vijidudu, sabuni does. Kwa hiyo hata ukinawa na maji ya moto usipotumia sabuni ni bure.

unaogopa kula kinyesi chako mwenyewe na unanyonya nanihii? Tuondolee uchizi hapa!

Kingasti nadhani wewe ni mtu wa pwani. Pwani ndio wanatumia maji kuchamba. Na huu utaratibu wa waarabu wakiongozwa ka Kuruani!
 
Rafiki, pwani ama bara mie naongelea kunawa mikono baada ya kutoka chooni (hata wewe ukimaliza kutoa haja ndogo uwe unanawa mikono tafdhali) na pia kunawa mikono na sabuni kabla ya kula. Hebu google research za hygiene
Kingasti nadhani wewe ni mtu wa pwani. Pwani ndio wanatumia maji kuchamba. Na huu utaratibu wa waarabu wakiongozwa ka Kuruani!
 
Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
Wanaotumia mikono kuchambia hawana utaalamu wa kutengeneza gloves, na
wenye utaalamu wa kutengeneza gloves hawatumii mikono kuchambia!
 
Rafiki, pwani ama bara mie naongelea kunawa mikono baada ya kutoka chooni (hata wewe ukimaliza kutoa haja ndogo uwe unanawa mikono tafdhali) na pia kunawa mikono na sabuni kabla ya kula. Hebu google research za hygiene

Rafiki, mtoa uzi alisema kwanini tunachambia mikono-kushika mavi mkunduni (ashukumu si matusi). Huu ni utaratibu/mila za Waarabu ambao maisha yao ya kila siku yanaongozwa na Kuruani. General Hygiene inafahamika and you are right! Kunawa ni lazima utokapo chooni hata kama umetumia toilet paper. Lakini swali Kwa nini tunatumia maji? Ni utamaduni wa Kiarabu wakiongozwa na dini. Utamaduni wa wazungu-Western world ni toilet papers! Kwa nini hawatumii maji.
 
ukitaka kinyesi kisishike pakunyea ili usihangaike kuchamba! Wewe kabla ya kwenda haja paka lotion ya kutosha kwenye eneo husika, am sure hakuna hata chembe ya kinyesi itakayo baki kwenye anus yako.

Km hiyo ngumu basi jisaidie km kawaida halafu ukimaliza nena kwenye kona ya ukuta yaan ile ncha, halafu pachika makalio yako kwenye ile ncha ya kona ya ukuta, kalio moja kushoto lingine kulia hakikisha ile ncha inakuwa katikati ya makalio. Halafu fanya kam unapanda juu na kushuka taratibu, huku tunaita KUSENYENTA wala huna haja ya kushika kinyesi kwa mikono.

Zipo style nyingi km hujazipenda hizo utaniambia nikupe zingine.
 
kama unauonea huruma mkono wako waweza tumia gunzi MKUU.
au ukimaliza unasota kwenye pembe ya mlango kwenye kile kijiufito cha frem ya mlango

Yaonesha Una Uzoefu Na Hili Mkuu.
 
Kama nikuumwa nadhani hata ma daktari wote pia wangekuwa wagonjwa.
 
ukitaka kinyesi kisishike pakunyea ili usihangaike kuchamba! Wewe kabla ya kwenda haja paka lotion ya kutosha kwenye eneo husika, am sure hakuna hata chembe ya kinyesi itakayo baki kwenye anus yako.

Km hiyo ngumu basi jisaidie km kawaida halafu ukimaliza nena kwenye kona ya ukuta yaan ile ncha, halafu pachika makalio yako kwenye ile ncha ya kona ya ukuta, kalio moja kushoto lingine kulia hakikisha ile ncha inakuwa katikati ya makalio. Halafu fanya kam unapanda juu na kushuka taratibu, huku tunaita KUSENYENTA wala huna haja ya kushika kinyesi kwa mikono.

Zipo style nyingi km hujazipenda hizo utaniambia nikupe zingine.

Huo ukuta wa nani anaoenda kuufanyia hivyoo
 
ndugu, mungu c mjinga kwa kukuumba wewe kikamilifu na amekupa viungo vingi tu ktk mwili wako, na kila kiungo jua kina kazi yake,ebu ngoja nikukumbushe japo kidogo kazi za viungo vyako
@macho hukuwezesha kuona yakisaidiana na ubongo kutambua kuwa unachokiona ni kibaya au ni kizuri, Pua hukuwezesha kuvuta au kutoa hewa hali chafu mwilini ili uendelee kuwa hai mdomo una kazi nyingi sana mawasiano,kupitisha chakula, kutema mate, kuongea umbea uongo unafiki pia kuifadhi baadhi ya viungo vingine km meno na ulimi
@Viungo cha siri vipo pale kwa ajili ya kukojolea, kutoa huduma ,kuzalia na vinginevyo
@ mikono ni kiungo muhimu sana kwa ajili ya maisha yako kwa sababu asilia 80 ya maisha yako hutegemea mikono hii, mfano= kula, kufanya kazi, kujisafisha wewe mwenyewe mf kujichichamba, kujikuna, kujilinda, kujiinunua, kupigana, kuendesha, kupapasa, kwa hiyo viungo ni vingisana ziwezi kuviorodhesha vyote hapa lkn nilikuwa najaribu kukumbusha kuwa mungu ana makusudi yake kukupa wewe viungo vingi ktk mwili wako na uvitumiea km vile yeye Sir god alivyokuagiza,
kwa iyo usimkufuru mungu kwa kushangaa kujichamba na mikono wakati ata ukitumia toilet paper bado utatumia tu mikono, wazungu wana mabomba flani ya kuflash kueleza kwenye kinyeo lkn bado utatumia mikono tu kushika ilo bombo
kwa hiyo ndugu yangu no way ni lazima utumie mikono tu kama mungu alivyokuagiza.
mwisho kbs we mleta mada kma we huwezi kutumia mikono kuchichamba basi c lazima uchimbe we kata gogo pandisha suruali yako endelea na maisha yako tena we ndio utakuwa msafi sana
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza

inaelekea wewe ni maasai na unatetea ile tabia yenu ya kuchambia rungu munalotembea nalo kila dakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom