Angelicious
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 869
- 499
Aisee!
Kumbe wale wanajeshi hawakukosea kukupa kichapo mbele ya mkeo!
Hivi huyu ndo aliyepewa kichapo mbele ya mkewe? Kwa maswali ya namna hii acha apate kichapo
Aisee!
Kumbe wale wanajeshi hawakukosea kukupa kichapo mbele ya mkeo!
wa kushoto mkuu
brother Yesu anakujaje hapa? kama umechoka kuchangia ni heri ukae kimya otherwise unachokitafuta they will grant your wish.
Bila kumtaja Yesu huna raha.Mpka uharibu uelekeo wa thread ndo ufurahi.Sijui watu wengine mlilishwa kitu gani
huyu kalishwa supu ya m.a.v.i na wala c supu ya mawe kama anavyojiitaBila kumtaja Yesu huna raha.Mpka uharibu uelekeo wa thread ndo ufurahi.Sijui watu wengine mlilishwa kitu gani
Maji ya moto ya kunawia hayauwi vijidudu, sabuni does. Kwa hiyo hata ukinawa na maji ya moto usipotumia sabuni ni bure.
unaogopa kula kinyesi chako mwenyewe na unanyonya nanihii? Tuondolee uchizi hapa!
Habari zenu marafiki?
Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh
Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.
Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
mbona wemgine wanazilamba hizo tigo..........we kugusa na mkono walalamika
Aisee!
Kumbe wale wanajeshi hawakukosea kukupa kichapo mbele ya mkeo!
Kama utahitaji mtu wa kumswafi nambie kaka mi ntafanya hiyo kwa moyo mkunjufu!!!!!
Ndimi wako mtiifu OLESAIDIMU