Kwanini tunachambia mikono?

Kwanini tunachambia mikono?

Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
Mkuu unaweza vile vile kuchambia gunzi la mahindi, uamuzi ni wako!
 
ha ha haaa! Nimeishia kucheka sana. My mind can't stop silly imaginations, anyway...short & clear..hapana!!!teeh!!

nimewaza nimjibu nini and that was the only thing that came out of my mind......

bata ukimchunguza sana huwezi kumla
 
kwani siku zote izo ulizokula m.a.v.i ushawahi kuugua..?tena wewe inaonekana una kale katabia ka kula kucha ndio maana umeuliza hilo swali lako..lakini kwanza ungejiuliza,tusipochambia mikono tuchambie kiungo gani..?
 
Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
Picha ya kuchamba umeiweka vizuri na kuhalalisha wasiwasi wako juu ya afya. Ila sasa hizo gloves zitatengenezwa na nani?
Wenzetu wenye teknolojia ya viwanda na utaalamu wa kutengeneza vitu, hawana tatizo na uchambaji unaouzungumzia kwa sababu wanatumia karatasi laini na kinyesi hakiguswi na mikono yao. Umeandika kana kwamba kule Mbagala au Sikonge kuna wataalamu wataisoma hii thread na kuifanyia kazi.
 
Nimekumbuka enzi za primary, kule shuleni kwetu Murutirima P/S, Nansio; wanafunzi walikuwa wakichamba kwa kutumia angle ya ukuta, te te te teh! Nawewe waweza jaribu method hii.
 
Mtoa mada jina lake na akili zake vinaendana.hv kumbe mawe ukichemsha unapata supu?
 
Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza

Chambia ulimi
 
Habari zenu marafiki?

Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh

Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.

Ushauri wangu ni kwamba zitengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
halafu usikute boya kama hili ndio mtaalam wa kwenda chumvini.
 
kwani yesu alikua anachambia nini mkuu?,au tayari walikua na viwanda vya tissue huko?

brother Yesu anakujaje hapa? kama umechoka kuchangia ni heri ukae kimya otherwise unachokitafuta they will grant your wish.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom