Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
..aaaaah......!! kweli hao ni lambalamba.. ptuu!!
hiyo ptuu ndo kinyaa ama!!!!!!
..aaaaah......!! kweli hao ni lambalamba.. ptuu!!
Kaunga, Mwarabu hawezi kukuelewa kuhusu tissue!
Heaven on Earth we ushalambwa?mbona wemgine wanazilamba hizo tigo..........we kugusa na mkono walalamika
Heaven on Earth we ushalambwa?
Naona umepona sasa,baada ya kipigo kutoka kwa wajeda,hamna manundu tena.Habari zenu marafiki?
Nilikuwa najiuliza baada ya haja kubwa kwanini tunachambia mikono? kwa kuwa haja kubwa ni uchafu pamoja na kwamba tuna nawa mikono na sabuni lakini ule uchafu unaweza kubakia hata kwenye kucha kidogo halafu unaenda chakula? mmmh
Wengi wetu hatunawi na maji ya moto hivyo vidudu vinakuwa bado havijafa vinakuwa mkononi.
Ushauri wangu ni kwamba zintengenezwe gloves za kuchambia ambazo zitakuwa ni disposable gloves.
Asanteni kwa kunisikiliza
hiyo ptuu ndo kinyaa ama!!!!!!
Hapana........