A very very poor excuse.Wazungu washakuharibu na ndo lengo Lao.
A very very poor excuse.Wazungu washakuharibu na ndo lengo Lao.
Msamehe tu, sasa anajiita chuma cha pua, hapo utategemea nini sasa cha maanaA very very poor excuse.
Watu weusi ni laana
Kutwa kusema mlitawaliwa mbona Marekani ilitawaliwa, Japan , India na Korea zilitawaliwa.
Mwaka 2024 china wamefanya gunduzi zaidi ya milion 1 na Marekani gunduzi zaidi ya laki 5 na zikapewa patents. Huu ni mwaka 2024.
Hakuna hata nchi Moja ya Africa kwenye top 10.
Watu weusi ni incomplete human being.
Afrika na uvumbuzi wa tone tone, hawatoboiWatu weusi ni laana
Kutwa kusema mlitawaliwa mbona Marekani ilitawaliwa, Japan , India na Korea zilitawaliwa.
Mwaka 2024 china wamefanya gunduzi zaidi ya milion 1 na Marekani gunduzi zaidi ya laki 5 na zikapewa patents. Huu ni mwaka 2024.
Hakuna hata nchi Moja ya Africa kwenye top 10.
Watu weusi ni incomplete human being.
Watu weusi wapi, mbona kuna watu weusi huko kwa wenzetu wamefanya makubwa. Na kuna mnaowaita weupe huku kwetu hawajafanya lolote pia. We sema tu Afrika.Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo Upeo wetu ni mdogo Hatujakamilika kuwa binadamu kamili Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu Tumekata tamaa Hatujastaarabika Imani za dini imetuzidi Si jukumu letu kuvumbua Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe Elimu zetu Bado tupo gizani Tumelogwa n.k
Tatizo lako unadhani ugunduzi umekoma. Kuna zaidi ya topics za darasani katika kuiandaa akili ya Mwanadamu kuweza kufanya ugunduzi(ubunifu)Ni topic gani katika masomo ya science ambayo humuandaa mwanafunzi kuwa roboti? Ninachojua elimu tunayosoma ni universal ndio maana unaweza maliza udsm ukaenda kujiendeleza cambridge au oxford kwa maana contents ni zile zile zinazofundishwa katika mataifa mengine utofauti ni miundombinu tu
Huwezi kufundishwa kugundua kitu unafundishwa kuendeleza kilichogunduliwa, kama ndivyo niambie aliegundua ndege amesoma chuo gani? Ndio maana kuna watu wanaitwa ma-genius kwa maana wana extra knowledge ukiacha ya darasani
Hata ukasome wapi dunia hii huwezi kuwa mvumbuzi eti kwasababu umesoma huo ni uwongo, uvumbuzi hauhitaji elimu ya darasani unaweza kuwa hujui hata kusoma wala kuandika na ukagundua kitu chenye manufaa kwa jamii ndio maana nikasema elimu ya darasani haina uhusiano wa moja kwa moja na uvumbuzi
Sasa mimi nahusikaje na jina langu. Just like 90%+ of the world nimepewa jina na wazazi. Pia unajidanganya kama unadhani mimi nina dini.Lete jina lako hapa tuone kama Lina asili ya Africa!?
Kama umeshindwa kubuni jina la kiafrica imekubidi uli import unaweza kubuni nini wewe maiti inayotembea.
Dini zako umeacha umekuwa mkristo au Muislam.
Uwezo wangu wa kufikri ndio kiashiria kuwa waafrica hatuna uwezo wa kufikri.Sasa mimi nahusikaje na jina langu. Just like 90%+ of the world nimepewa jina na wazazi. Pia unajidanganya kama unadhani mimi nina dini.
Kingine umetoka nje ya mada. Uwezo wako wa kufikiri unatia mashaka
Majukwaaa yakuonesha innovation ndo yanaanza na mengine bado machanga kabisaTatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo Upeo wetu ni mdogo Hatujakamilika kuwa binadamu kamili Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu Tumekata tamaa Hatujastaarabika Imani za dini imetuzidi Si jukumu letu kuvumbua Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe Elimu zetu Bado tupo gizani Tumelogwa n.k
Hivi chips yai zege ni Tanzania tu kumbe?Kwani mkuu
1. Timu 1 kwenda kunya kwenye jengo/uwanja wa timu nyingine nani amegundua?
2. Tume ya uchaguzi kupendelea waziwazi chama fulani nani kagundua?
3. Chips yai zege nani kagundua
4. Uchawi wa kumuua mtu aliyekuzidi mali nani kagundua?
Nooo, big noooUwezo wangu wa kufikri ndio kiashiria kuwa waafrica hatuna uwezo wa kufikri.
Mfano wa topic gani ambayo kwenye mtaala wetu haipo,Tatizo lako unadhani ugunduzi umekoma. Kuna zaidi ya topics za darasani katika kuiandaa akili ya Mwanadamu kuweza kufanya ugunduzi(ubunifu)
Kweli, we toka lini chakula cha mifugo wakapewa binadamuInawezekana huu ugali wa mahindi ninaokula, umedumaza akili
Kwenye kusoma.quran na biblia tutawashindaKwa mfano, ukiwekwa mdahalo wa kuchuana kati ya wazungu na waafrika kwenye mada yoyote ile, kati ya maksi 10, waafrika watapata ngapi?
Jamii ambayo mtoto akizaliwa anapelekwa shule ili baadae aje Aajiriwe Aoe/aolewe Azae watoto azeeke halafu afeTatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo Upeo wetu ni mdogo Hatujakamilika kuwa binadamu kamili Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu Tumekata tamaa Hatujastaarabika Imani za dini imetuzidi Si jukumu letu kuvumbua Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe Elimu zetu Bado tupo gizani Tumelogwa n.k
Sir Isaac Newton alisoma University of Cambridge's Trinity CollegeMfano wa topic gani ambayo kwenye mtaala wetu haipo,
Sijasema ugunduzi umekoma ila ninachosema hauna uhusiano wa moja kwa moja na elimu ya darasani kule tunafundishwa ujuzi au ufahamu wa vitu vilivyokwisha kugunduliwa ila sasa ukishaelewa unaweza endeleza (innovation) hata vitu vingi tunavyovisoma ni ugunduzi wa watu waliofanya research wakajua mambo mbalimbali kuhusu dunia na vilivyomo je hao wenyewe walikuwa na elimu gani kabla ya kuandika?