Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,732
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
- Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo
- Upeo wetu ni mdogo
- Hatujakamilika kuwa binadamu kamili
- Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu
- Tumekata tamaa
- Hatujastaarabika
- Imani za dini imetuzidi
- Si jukumu letu kuvumbua
- Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe
- Elimu zetu
- Bado tupo gizani
- Tumelogwa
- n.k