Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Elimu haina uhusiano wa moja kwa moja na uvumbuzi

At first mtu au taasisi wanagundua kitu wanakiendeleza halafu wanakiundia mtaala kufundisha matumizi yake au namna walivyofanya kukiunda na hiyo ndio elimu yenyewe

Watu hawafundishwi kuvumbua bali hufundishwa kutumia vilivyo gunduliwa au kuendeleza vilivyokwisha gunduliwa
Naomba nitofautiane na hoja yako. Mfumo wa Elimu wenye mlengo wa kuifinyanga akili ya mtu kuwa na uwezo wa kufikiri kwa Uhuru(pasipo na mipaka) ndio unaochochea uwezo wa uvumbuzi tofauti na mfumo wa Elimu unaoifinyanga akili iwe inapokea maelekezo tu na kuyafanyia kazi(kukariri).

Akili ya mtu ikijengwa kupitia mfumo wa Elimu unaomchochea mtu kufikiri pasipo na mipaka automatically mtu huyu atakuwa mvumbuzi kwenye area of specialization yake. Kuna namna ataleta ideas mpya kwenye eneo alilobobea!

Mfumo wetu wa Elimu kwa sehemu kubwa unazalisha 'maroboti'. Hauandai watu wenye kufikiri kwa uhuru ambako ndiko kunakoleta ubunifu(uvumbuzi).

Kwenye suala la uvumbuzi,Mtoto aliyelelewa na mfumo wa Elimu unaomuamrisha awe anachora vitu fulani kamwe hawezi kufanana na Mtoto aliyelelewa na mfumo wa Elimu unaompa Uhuru wa kuchora anachokifiri yeye kwenye akili yake!

Hauwezi ukategemea uvumbuzi kwenye mfumo wa Elimu ambao unalimit uwezo wa kufikiri.
 
African Americans created and discovered many essential everyday items, including the three-light traffic signal, mobile refrigeration systems, and the home security system. [1]

Everyday Items and Household Goods
    • Ironing Board: Sarah Boone improved the design in 1892 to make it easier to iron clothes and sleeves.
    • Cabinet Bed: Sarah Elisabeth Goode invented a folding cabinet bed in 1885 to save space in small homes.
    • Street Mailbox: Philip B. Downing invented the metal street letter box in 1891 with a secure hinged door.
    • Ice Cream Scoop: Alfred L. Cralle invented the ice cream server in 1897 to stop ice cream from sticking. [1, 2, 3, 4, 5]

Transportation and Public Safety
    • Three-Light Traffic Signal: Garrett Morgan patented an early mechanical traffic signal in 1923 to direct road traffic safely. He also created an early gas mask. [1, 2, 3, 4]
    • Refrigerated Trucks: Frederick McKinley Jones invented a roof-mounted cooling system in 1940 that safely keeps food and medical supplies cold during travel. [1, 2, 3, 4, 5]
    • Automatic Elevator Doors: Alexander Miles invented a mechanism in 1887 that automatically closes and opens elevator shafts. [1, 2, 3]

Technology and Medicine
    • Home Security System: Marie Van Brittan Brown co-invented a motorized home security system with cameras and a two-way microphone in 1966. [1, 2, 3, 4]
    • Electret Microphone: James E. West co-invented the foil electret microphone in 1964, which is used in 90 percent of modern phones and recorders. [1, 2]
    • Blood Plasma Storage: Charles Drew developed effective methods for storing and processing blood plasma during the 1940s, making blood banks possible. [1, 2, 3]
    • Cataract Laser Surgery: Patricia Bath invented the Laserphaco Probe in 1986 to treat cataracts with a laser. [1, 2]
    • More👇
  • Africans discovered and created foundational elements of human history, including the Ishango Bone math tool, advanced carbon steel, and coffee. [1, 2]

    Mathematics and Science
      • Ishango Bone: Found in the Democratic Republic of the Congo and dating back 20,000 years, it is an early tool for counting and prime numbers. [1]
      • Lebombo Bone: Found in Eswatini and dating back roughly 35,000 years, it is considered the oldest known lunar tracking artifact/calendar. [1]
      • Astronomy & Calendars: Ancient Egyptians and Nile Valley cultures tracked stars and mapped a 365.25-day solar year. [1]

  • Technology and Metallurgy
      • High-Carbon Steel: East African ironworkers in the Great Lakes region built preheated furnaces to forge high-carbon steel over 1,500 years ago, predating European industrial methods.
      • Papyrus & Writing: Egyptians manufactured papyrus sheets from reed pith around 2400 BCE alongside early hieroglyphic writing systems. [1, 2, 3]

  • Agriculture and Food
      • Coffee: The stimulating properties of Coffea arabica were discovered in the highlands of Ethiopia.
      • Crop Domestication: Indigenous farmers domesticated coffee, oil palm, sorghum, yams, and African groundnuts across various regions of the continent. [1, 2, 3, 4]

  • Medicine and Surgery
      • Cesarean Sections: Indigenous surgeons in 19th-century Uganda successfully performed C-sections using banana wine for antiseptic and anesthesia, sealing wounds with iron spikes.
      • Medical Text: The Edwin Smith Papyrus, dating to 1600 BCE, recorded ancient anatomical observations and surgical treatments. [1, 2]
 
Mpemba Effect = maji ya moto wakati mwingine huganda kuwa barafu haraka zaidi kuliko maji ya baridi 😱

Inaitwa hivyo baada ya mwanafunzi wa Tanzania Erasto Mpemba 1963. Alikuwa akitengeneza ice cream shuleni Morogoro na kugundua hili.

Inafanyaje kazi? Hakuna jibu 1 kamili, ni mchanganyiko wa vitu 5:

1. KUPOZA KWA KASI "Evaporation"

Maji ya moto yana mvuke mwingi. Yanapowaka yanapoteza maji mengi hewani.
Mfano: lita 1 ya moto inaweza kubaki lita 0.9. Ni maji kidogo sasa ya kugandisha, hivyo inachukua muda mfupi.

2. TOFAUTI KUBWA YA JOTO "Convection"
Maji ya moto na friza ni tofauti kubwa sana. Hii inafanya maji yatembee ndani kwa ndani kwa nguvu.
Maji ya moto chini yanapanda juu, ya baridi yanashuka. Hii inasambaza joto haraka sana.

3. GESI ZILIZOYEYUKA ZINATOKA
Maji ya baridi yana hewa nyingi ndani yake. Hewa hiyo inafanya iwe "insulator" - inazuia kupoza.
Maji ya moto yakichemka, hewa hiyo yote inatoka. Sasa maji yanapata mawasiliano moja kwa moja na friza na kupoza haraka.

4. SUPERCOOLING - "Kusita kuganda"
Maji ya baridi wakati mwingine "yanasita" kuganda hata chini ya 0°C. Yanangoja chembe ndogo ya vumbi ili kuanza kuganda.
Maji ya moto hayana uchafu huo, hivyo yanaanza kuganda moja kwa moja.

5. FRIZA INAFANYA KAZI NGUVU ZAIDI
Ukiweka bakuli la moto kwenye friza, friza inasikia joto na compressor yake inaanza kufanya kazi nguvu.
Hii inabaridisha sehemu yote ya friza haraka, na hivyo inabaridisha na yale maji ya moto haraka pia.

Muhimu kujua:
Mpemba Effect HAITOKI KILA MUDA. Inategemea na:
1. Chombo unachotumia - chuma au plastiki
2. Kiasi cha maji
3. Joto la friza yako
4. Kama maji yana klorini au la

Wanasayansi bado wanapigana kuhusu ni sababu ipi ndio kubwa zaidi.

Jaribio rahisi nyumbani:
Chukua vikombe 2 sawa. Weka kikombe 1 maji ya moto ∼80°C. Kikombe 2 maji ya bomba ∼25°C. Weka kwenye friza pamoja. Angalia ni ipi inaganda kwanza. Mara nyingi ya moto inashinda.

Unataka nikupe video fupi ya jaribio hili au tujaribu kuelezea kwa mlinganyo?
Hii Ina mchango Gani kwenye maisha ya Kila siku ya binadamu
 
Watu weusi ni laana

Kutwa kusema mlitawaliwa mbona Marekani ilitawaliwa, Japan , India na Korea zilitawaliwa.


Mwaka 2024 china wamefanya gunduzi zaidi ya milion 1 na Marekani gunduzi zaidi ya laki 5 na zikapewa patents. Huu ni mwaka 2024.


Hakuna hata nchi Moja ya Africa kwenye top 10.

Watu weusi ni incomplete human being.
 

Attachments

  • Screenshot_20260728-062353.png
    Screenshot_20260728-062353.png
    236.6 KB · Views: 6
Huo ugunduzi utafanyika saa ngapi ikiwa watu wapo busy kufuatilia ujinga ujinga?
Mabadiliko yeyote huanza kwa kubadilisha mindset,
Attitude,beliefs and way of thinking that shape how you see yourself and the World,

Sasa hivi wapo busy kujadili issue ya Doto Magari,ikiisha hii issue,wataletewa Kiki nyingine, na maisha yanaenda na siku zinasonga mbele.
 
Naomba nitofautiane na hoja yako. Mfumo wa Elimu wenye mlengo wa kuifinyanga akili ya mtu kuwa na uwezo wa kufikiri kwa Uhuru(pasipo na mipaka) ndio unaochochea uwezo wa uvumbuzi tofauti na mfumo wa Elimu unaoifinyanga akili iwe inapokea maelekezo tu na kuyafanyia kazi(kukariri).

Akili ya mtu ikijengwa kupitia mfumo wa Elimu unaomchochea mtu kufikiri pasipo na mipaka automatically mtu huyu atakuwa mvumbuzi kwenye area of specialization yake. Kuna namna ataleta ideas mpya kwenye eneo alilobobea!

Mfumo wetu wa Elimu kwa sehemu kubwa unazalisha 'maroboti'. Hauandai watu wenye kufikiri kwa uhuru ambako ndiko kunakoleta ubunifu(uvumbuzi).

Kwenye suala la uvumbuzi,Mtoto aliyelelewa na mfumo wa Elimu unaomuamrisha awe anachora vitu fulani kamwe hawezi kufanana na Mtoto aliyelelewa na mfumo wa Elimu unaompa Uhuru wa kuchora anachokifiri yeye kwenye akili yake!

Hauwezi ukategemea uvumbuzi kwenye mfumo wa Elimu ambao unalimit uwezo wa kufikiri.
Ni topic gani katika masomo ya science ambayo humuandaa mwanafunzi kuwa roboti? Ninachojua elimu tunayosoma ni universal ndio maana unaweza maliza udsm ukaenda kujiendeleza cambridge au oxford kwa maana contents ni zile zile zinazofundishwa katika mataifa mengine utofauti ni miundombinu tu

Huwezi kufundishwa kugundua kitu unafundishwa kuendeleza kilichogunduliwa, kama ndivyo niambie aliegundua ndege amesoma chuo gani? Ndio maana kuna watu wanaitwa ma-genius kwa maana wana extra knowledge ukiacha ya darasani

Hata ukasome wapi dunia hii huwezi kuwa mvumbuzi eti kwasababu umesoma huo ni uwongo, uvumbuzi hauhitaji elimu ya darasani unaweza kuwa hujui hata kusoma wala kuandika na ukagundua kitu chenye manufaa kwa jamii ndio maana nikasema elimu ya darasani haina uhusiano wa moja kwa moja na uvumbuzi
 
African Americans created and discovered many essential everyday items, including the three-light traffic signal, mobile refrigeration systems, and the home security system. [1]

Everyday Items and Household Goods
    • Ironing Board: Sarah Boone improved the design in 1892 to make it easier to iron clothes and sleeves.
    • Cabinet Bed: Sarah Elisabeth Goode invented a folding cabinet bed in 1885 to save space in small homes.
    • Street Mailbox: Philip B. Downing invented the metal street letter box in 1891 with a secure hinged door.
    • Ice Cream Scoop: Alfred L. Cralle invented the ice cream server in 1897 to stop ice cream from sticking. [1, 2, 3, 4, 5]

Transportation and Public Safety
    • Three-Light Traffic Signal: Garrett Morgan patented an early mechanical traffic signal in 1923 to direct road traffic safely. He also created an early gas mask. [1, 2, 3, 4]
    • Refrigerated Trucks: Frederick McKinley Jones invented a roof-mounted cooling system in 1940 that safely keeps food and medical supplies cold during travel. [1, 2, 3, 4, 5]
    • Automatic Elevator Doors: Alexander Miles invented a mechanism in 1887 that automatically closes and opens elevator shafts. [1, 2, 3]

Technology and Medicine
    • Home Security System: Marie Van Brittan Brown co-invented a motorized home security system with cameras and a two-way microphone in 1966. [1, 2, 3, 4]
    • Electret Microphone: James E. West co-invented the foil electret microphone in 1964, which is used in 90 percent of modern phones and recorders. [1, 2]
    • Blood Plasma Storage: Charles Drew developed effective methods for storing and processing blood plasma during the 1940s, making blood banks possible. [1, 2, 3]
    • Cataract Laser Surgery: Patricia Bath invented the Laserphaco Probe in 1986 to treat cataracts with a laser. [1, 2]
    • More👇
  • Africans discovered and created foundational elements of human history, including the Ishango Bone math tool, advanced carbon steel, and coffee. [1, 2]

    Mathematics and Science
      • Ishango Bone: Found in the Democratic Republic of the Congo and dating back 20,000 years, it is an early tool for counting and prime numbers. [1]
      • Lebombo Bone: Found in Eswatini and dating back roughly 35,000 years, it is considered the oldest known lunar tracking artifact/calendar. [1]
      • Astronomy & Calendars: Ancient Egyptians and Nile Valley cultures tracked stars and mapped a 365.25-day solar year. [1]

  • Technology and Metallurgy
      • High-Carbon Steel: East African ironworkers in the Great Lakes region built preheated furnaces to forge high-carbon steel over 1,500 years ago, predating European industrial methods.
      • Papyrus & Writing: Egyptians manufactured papyrus sheets from reed pith around 2400 BCE alongside early hieroglyphic writing systems. [1, 2, 3]

  • Agriculture and Food
      • Coffee: The stimulating properties of Coffea arabica were discovered in the highlands of Ethiopia.
      • Crop Domestication: Indigenous farmers domesticated coffee, oil palm, sorghum, yams, and African groundnuts across various regions of the continent. [1, 2, 3, 4]

  • Medicine and Surgery
      • Cesarean Sections: Indigenous surgeons in 19th-century Uganda successfully performed C-sections using banana wine for antiseptic and anesthesia, sealing wounds with iron spikes.
      • Medical Text: The Edwin Smith Papyrus, dating to 1600 BCE, recorded ancient anatomical observations and surgical treatments. [1, 2]
Mtoa mada anataka waafrika wa Tanzania ndio aamini kuwa waafrika wanagundua vitu yani hapo kwenye wagunduzi yawepo majina kama Mwakarobo invented...., Ngonyani invented..., Anangisye invented...,

Hapo ndio ataamini kuwa Afrika tunaweza
 
Sbabu ni uwezo mdogo wa kiakili. Chanzo cha uwezo mdogo wa kiakili ndio bado hakijajulikana ila huenda imechangiwa na mambo mengi ikiwemo lishe mbovu, kutawaliwa muda mrefu, matumizi ya bidhaa zenye ubora duni zinazoharibu uwezo wa kiakili n.k.

Watu wachache wenye akili nzuri wakizungukwa na watu wengi wenye akili mbaya matokeo jumuishi ni kuwa wote wataenda sawa, akili mbaya. Kama tungeweza, tungeweka utaratibu kama wa "Genius Visa", kwamba tunaweza toa visa ya mtu kuingia na kukaa nchini kwa exemptions fulani fulani as long as huyo mtu ana akili ya kitofauti ambayo tunaweza kuitumia kutatu matatizo yetu hapa nchini.

Kuna matatizo ya kawaida kabisa ambayo shida yake sio bajeti ila ni akili bunifu ambayo huenda tukiwa honest tukubali kuwa hatuna. Matatizo ya upatikanaji wa maji safi kwenye mikoa yenye vyanzo vikubwa kama Mwanza, Geita na Kagera, matatizo ya foleni, matatizo ya upatikanaji wa huduma za umeme. Imagine mkoa muhimu kama Dar kuna maeneo maji yanatoka kwa wiki mara moja, huu mwaka 2026.

Si umeona tu hata ujenzi wa mabarabara inabidi tulete wachina maana watanzania wenzetu wakijenga baada ya miezi sita mashimo yanajaa.

Umeona pia nchi kama South Africa ambayo wazungu walibaki na wameshika maeneo mengi muhimu ya kiuchumi na kiutawala, leo South Africa imejengwa kama Ulaya. Nchi kama Zimbabwe au Uganda ambayo walifukuza wazungu, nadhani wote tunajua zilivyo kwa maana ya hali ya maisha na upatikanaji wa huduma za kijamii.

Naomba kuwasilisha.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom