Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
Yote hapo majibu. Pia ongeza ubinafsi na roho mbaya ni moja pia ya sababu. Ndio maana mzazi anashindwa kujenga nyumba halafu anazaa anataka watoto ndio wamjengee.. hatuna utaratibu wa kua na dira.
 
Screenshot_20220712-170036.jpg
 
Kuna kitu jamii za kimaskini tunashindwa kuelewa sio kwamba sisi hatuwezi kuvumbua mimi tu binafsi katika makuzi nilikua mvumbuzi sana tu

Lakini ukweli ni kwamba vumbuzi ni gharama sana unahitaji muda material mbalimbali,utahitaji rasilimali watu una hitaji garage au maabara kwa ajiri ya majaribio mbalimbali na huwa inachukua hata miaka

Swali ni familia ngapi zenye uwezo wa kufadhili mchakato ghali kama huo hapa afrika.
Kweli kabisa, shida kubwa ni mitaji ya kuchezea hadi kitu kije kukubalika na jamii

Mfano sisi wakati tuko wadogo miaka kabla ya kuja simu za mkononi tulikuwa tunaweka nyuzi za manila kwenye vikopo viwili halafu mmoja anasimama umbali wa mita mia tunaanza kuongea na sauti zinasikika vizuri tu
 
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
Kati ya point zoote 13 ulizo orodhesha hapo umesahau ile ya kunyimwa kwa makusudi FURSA. Kwa mfano wapo wataalam wa UDOM majuzi kati hapo walidai kugundua dawa ya kuponyesha na Kutokomeza kabisa UKIMWI lakini walikosa kuungwa mkono na Serikali; pia wapo wengine huko Arumeru na Sngida lakini ufuatiliaji/ kuwaendeleza imekuwa ni shida.
Wapo Watz wengi wenye vipaji tofauti-tofauti lakini wanakwama kwenye uwezeshwaji
 
Kati ya point zoote 13 ulizo orodhesha hapo umesahau ile ya kunyimwa kwa makusudi FURSA. Kwa mfano wapo wataalam wa UDOM majuzi kati hapo walidai kugundua dawa ya kuponyesha na Kutokomeza kabisa UKIMWI lakini walikosa kuungwa mkono na Serikali; pia wapo wengine huko Arumeru na Sngida lakini ufuatiliaji/ kuwaendeleza imekuwa ni shida.
Wapo Watz wengi wenye vipaji tofauti-tofauti lakini wanakwama kwenye uwezeshwaji
Kwa nini hawawezeshwi, tatizo ni nini?
 
Kwa nini hawawezeshwi, tatizo ni nini?
Mkuu; Ni majanga tupu. Hebu fikiria/Tafakari wakiwezeshwa na ikathibitika ni kweli inaponyesha kabisa; vile viwanda vya kutengeneza ERVs si vitafungwa? Ni hasara kubwa sana kwa matajiri-wamiliki wa viwanda hivyo. Kwa mantiki hiyo wale Big Pharma companies hawatakuacha salama. Wataweza kuwanunua wakubwa ili wakukwamishe. Ukizingua zaidi watakupoteza mazima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom