Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 9,298
- 19,953
Coptic Egyptians ndio walijenga, hawakuwa weusiYale Ma- pyramid walijenga wazungu !? Ukajifunze kuhusu civilization from kemet utaelewa zaidi
Coptic Egyptians ndio walijenga, hawakuwa weusiYale Ma- pyramid walijenga wazungu !? Ukajifunze kuhusu civilization from kemet utaelewa zaidi
na great wall of Zimbabwe?Coptic Egyptians ndio walijenga, hawakuwa weusi
Ukuta ni uvumbuzi pia?na great wall of Zimbabwe?
sio ukuta kama ukuta wa hapo ulikopanga.Ukuta ni uvumbuzi pia?
Coptic Egyptians ndio walijenga, hawakuwa weusi
Unaelewa maana ya neno 'uvumbuzi' kajifunze kwanza ndio uje kujadiliUkuta ni uvumbuzi pia?
mbona unajijibu mwenyew?Unaelewa maana ya neno 'uvumbuzi' kajifunze kwanza ndio uje kujadili
Kajifunze maana ya uvumbuzi....maana hata watu kupanga mawe unasema ni uvumbuzimbona unajijibu mwenyew?
Kile kile kinachofanya kunguru aelee angani ndio kilifanya ndege ielee na tani zakeInabidi tujiulize, ndege inaeleaje angani huku ikiwa imebeba mzigo wa tani 10? haya ya kujenga pyramid hayana mashiko wala tija.
post ya mbongo kuvumbua gloves za kutafsiri lugha ya alama mbona unaikwepa kama ukoma?Kajifunze maana ya uvumbuzi....maana hata watu kupanga mawe unasema ni uvumbuzi