Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Mazingira
Vyakula
Asili

Vimeathiri uwezo wa mtu mweusi kufikiria(Low cognitive ability)

Average IQ ta watu weusi West africa,East,north, south, sio sawa..pia ukifananisha na watu weusi walio zaliwa ulaya or Marekani ni zaidi ya wa Africa waliopo Africa
 
Research and Development. Nchi inatakiwa kuwezesha mazingira ya mtoto kuendeleza kile alichojifunza shuleni. Tunasomesha watoto shule za sayansi lakini akimaliza shule, ni wapi ataweza ku apply kile alichosoma? Ilitakiwa kuwe labs, karakana, mashamba darasa nk.
Ni nani wa kulianzisha hili?
 
Mazingira
Vyakula
Asili

Vimeathiri uwezo wa mtu mweusi kufikiria(Low cognitive ability)

Average IQ ta watu weusi West africa,East,north, south, sio sawa..pia ukifananisha na watu weusi walio zaliwa ulaya or Marekani ni zaidi ya wa Africa waliopo Africa
Kwa mfano, ukiwekwa mdahalo wa kuchuana kati ya wazungu na waafrika kwenye mada yoyote ile, kati ya maksi 10, waafrika watapata ngapi?
 
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
Hata wazungu sio wote wanavumbua
 
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
Ila Afrika Bwana, Masters zote, PhD zote na Prof zote nizakutafutia Mshahara Tu🤣🤣🤣
 
Kuna kitu jamii za kimaskini tunashindwa kuelewa sio kwamba sisi hatuwezi kuvumbua mimi tu binafsi katika makuzi nilikua mvumbuzi sana tu

Lakini ukweli ni kwamba vumbuzi ni gharama sana unahitaji muda material mbalimbali,utahitaji rasilimali watu una hitaji garage au maabara kwa ajiri ya majaribio mbalimbali na huwa inachukua hata miaka

Swali ni familia ngapi zenye uwezo wa kufadhili mchakato ghali kama huo hapa afrika.
 
Kwa mfano, ukiwekwa mdahalo wa kuchuana kati ya wazungu na waafrika kwenye mada yoyote ile, kati ya maksi 10, waafrika watapata ngapi?
Sasa swali la kwenye post na ulilouliza hapa ni vitu viwili tofauti,watakao shinda ambao wana uelewa wa mada husika,wanaweza kushinda waafrika au wazungu,..

Sio kwamba wazungu wote smart or waafrika wote vilaza,but kwa ujumla wao(Population cognitive ability) wapo smart kutuzidi...
 
Kuna kitu jamii za kimaskini tunashindwa kuelewa sio kwamba sisi hatuwezi kuvumbua mimi tu binafsi katika makuzi nilikua mvumbuzi sana tu

Lakini ukweli ni kwamba vumbuzi ni gharama sana unahitaji muda material mbalimbali,utahitaji rasilimali watu una hitaji garage au maabara kwa ajiri ya majaribio mbalimbali na huwa inachukua hata miaka

Swali ni familia ngapi zenye uwezo wa kufadhili mchakato ghali kama huo hapa afrika.
Tatizo sio umasikini, inawezekana labda ni vipaumbele tu; ebu twende kwanza katoro.
 
Sasa swali la kwenye post na ulilouliza hapa ni vitu viwili tofauti,watakao shinda ambao wana uelewa wa mada husika,wanaweza kushinda waafrika au wazungu,..

Sio kwamba wazungu wote smart or waafrika wote vilaza,but kwa ujumla wao(Population cognitive ability) wapo smart kutuzidi...
''kwa ujumla wao(Population cognitive ability) wapo smart kutuzidi...'' kwa nini wao wako hivyo na si huku kwetu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom