Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,899
- 22,115
Foleni ya dar es salaam imewashindwa kuimaliza mtaweza kugundua nini tenaUnao uhakika kwamba hatuvumbui?
Na hizi ni hoja siyo suluhu ya uvumbuzi kama upo /tunavumbua ama hatuvumbui,
Kujua nini cha kutenda ni rahisi,kwenye kutenda kuna ugumu wake, kama ingekuwa Rahisi basi Madanguro yangekuwa Makanisa/mahekalu na Nyumba za maskini makasri ya kifalme,
Hivi siyo hoja au msemo wa utetezi , Gunduzi zipo fanya utafiti wako kwa kina/vizuri