Sio mtego mkuu, nawezaje kufanya hivyo, sina tabia hiyomtego huu
Sawa mkuuMake Her Friends Your Friends.
Mkuu! Ukiwa na maokoto, pandisha level ya kutafuta msichana wa kudate nao! Lenga familia fulani au anga za wasichana fulani! Kwa mfano mimi naendaga UDSM maeneo ya Library, cafeteria, graduation! Napitishapitisha macho! Pisi kali zinakuwa nyingi mno mpaka unapigwa wenge uchague yupi? Baada ya hapo! Nitamfuatilia! Au unamuita freelancer unamlipa anakutafutia full details! Ukishazipata kilichobaki ni kuweka mitego kupitia marafiki! Anakoishi! Anakoabudu! Kama unajiweza njooo pm unipe kazi hiyo!Mkuu hapo sielewi, najitahidi kuwatongoza mimi sio domo zege
Nimefika hapo 👆 na nilichokigundua ni kwamba bado unaishi nyumbani kwenu,, kingine kama nitakuwa sahihi wewe bado ni mwanafunzi lakini nisiku judge sana...Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.
Tatizo unahisi kila mwanamke anataka pesa zako mkuu jaribu kuoffer vitu vingine kwenye mapenzi labda utafanikiwa usisahau kumuomba Mungu.Kwema wakuu,
Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.
Najiuliza nikifa pesa zangu atarithi nani?
Kwema wakuu,
Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.
Najiuliza nikifa pesa zangu atarithi nani?
Thread closedSababu una akili ya kumsoma mtu.
Kama pesa umetafuta mwenyewe kwa jasho lako. Maana yake wewe una akili nyingi. Pesi hazipatikani kijinga
Ukiwa na akili utapata shida sana kupata mtu wa kuoa.. maana wenye akili wapo wachache.
High valie men ngumu sana kukutana na high value woman.
Kwa ufupi smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni
Mimi kwa upande wangu naona miyeyusho sana ku-date na hawa wanafunzi maana mara nyingi wanakuwa na boyfriend pale chuo.Mkuu! Ukiwa na maokoto, pandisha level ya kutafuta msichana wa kudate nao! Lenga familia fulani au anga za wasichana fulani! Kwa mfano mimi naendaga UDSM maeneo ya Library, cafeteria, graduation! Napitishapitisha macho! Pisi kali zunakuwa nyingi mno mpaka unapigwa wenge uchague yupi? Baada ya hapo! Nitamfuatilia! Au unamuhita freelancer unamlipa anakutafutia full details! Ukishazipata kilichobaki ni kuweka mitego kupitia marafiki! Anakoishi! Anakoabudu! Kama unajiweza njooo pm unipe kazi hiyo!
Wewe huna hela. Ungekuwa nazo ungepata mfanyakazi wa benki au TRA kwasababu hayo ndo maeneo wenye hela huenda mara kwa mara.Kwema wakuu,
Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.
Najiuliza nikifa pesa zangu atarithi nani?
Acha Uoga Wewe Okota Dodo Hilo Game Iishe Mapemamtego huu
Vitendo vya Matajiri, maneno ya Masikini.Pesa Nyingi Huwa Maneno Kidogo
Kwema wakuu,
Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.
Najiuliza nikifa pesa zangu atarithi nani?
HIi mbinu ya kutafuta Mademu ya kizamani. Ila unaweza wapata vilaza. Wewe mlalahoi una ota ndoto za alinacha. Mwandiko wako tu unaonesha wewe maskini.Kwema wakuu,
Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.
Najiuliza nikifa pesa zangu atarithi nani?