Tuo Tuo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 504
- 874
Wakuu,,
Habari
Swali hapo juu lahusika,,!!
Mwaka 2020 nilikua sina kazi, Nilikua naishi na mwanamke kisela,,, Tuliishi wote kama miaka miwili hili hivi. Ilipoisha kazi nikawa tu niko nyumbani.
Ila kikubwa ni Mwanamke na Hela… kwakua sikua na kazi bas kuna matumizi fulani nikapunguza na vitu flan flan ambavyo sikuona na msingi nikavitema.
Aisee sikua na hela ebu niwe mkweli.
Lakini Karaha niliyoipata ,,Hadi tukaja tukashindwana.Vitu hivi nili note
1.Mwanamke huwa haelewi Neno sina hela
Yaan ataomba hela ya hiki hiki hiki ,, na anajua sina kazi mi nanunua vitu tu vya msingi lakini kutwa kutaka hela,,,, makelele hayaishi naomba hela ya mboga ,,,, yaan kila siku ye hela ya mboga wakat bajet ya mboga majani ilikuepo!!
Yaan nataman niwe narudi kulala tu
2.Mwanamke kila siku anataka kutumia hela hata vitu vidogo vidogo vya kusolve anaomba hela.
3.Ukitembea nae umejichochea kila akikiona ktu ,wapite wanauza vitu
Anataka pesa aisee.
4.Makelele hayaishi ndani kisa tuvitu tudogo tudogo.
Aisee kati ya kipindi sikua na raha na nilichukia kuishi na hawa viumbe ndo hiki.
5.Dharau na kutotulia
Kuzurula kunaongezeka
Huwa najiuliza sasa nikioa uchumi ukayumba itakuaje had sasa bado naogopa,,,,,, aisee hawa
Lakini najiuliza kuna familia masikini zaidi yangu wanaishije !! Hakuna makelele au ndo siri ya kambi!!
Ebu shusha mbinu moja hapa unayotumia kudumu na mke wako kipindi cha mporomoko
Habari
Swali hapo juu lahusika,,!!
Mwaka 2020 nilikua sina kazi, Nilikua naishi na mwanamke kisela,,, Tuliishi wote kama miaka miwili hili hivi. Ilipoisha kazi nikawa tu niko nyumbani.
Ila kikubwa ni Mwanamke na Hela… kwakua sikua na kazi bas kuna matumizi fulani nikapunguza na vitu flan flan ambavyo sikuona na msingi nikavitema.
Aisee sikua na hela ebu niwe mkweli.
Lakini Karaha niliyoipata ,,Hadi tukaja tukashindwana.Vitu hivi nili note
1.Mwanamke huwa haelewi Neno sina hela
Yaan ataomba hela ya hiki hiki hiki ,, na anajua sina kazi mi nanunua vitu tu vya msingi lakini kutwa kutaka hela,,,, makelele hayaishi naomba hela ya mboga ,,,, yaan kila siku ye hela ya mboga wakat bajet ya mboga majani ilikuepo!!
Yaan nataman niwe narudi kulala tu
2.Mwanamke kila siku anataka kutumia hela hata vitu vidogo vidogo vya kusolve anaomba hela.
3.Ukitembea nae umejichochea kila akikiona ktu ,wapite wanauza vitu
Anataka pesa aisee.
4.Makelele hayaishi ndani kisa tuvitu tudogo tudogo.
Aisee kati ya kipindi sikua na raha na nilichukia kuishi na hawa viumbe ndo hiki.
5.Dharau na kutotulia
Kuzurula kunaongezeka
Huwa najiuliza sasa nikioa uchumi ukayumba itakuaje had sasa bado naogopa,,,,,, aisee hawa
Lakini najiuliza kuna familia masikini zaidi yangu wanaishije !! Hakuna makelele au ndo siri ya kambi!!
Ebu shusha mbinu moja hapa unayotumia kudumu na mke wako kipindi cha mporomoko