palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,462
hahahaha. nyerere alimkata lowasa ni kweli kabisa, ila hiki kisa kinaanzia kwa baba yake lowasa ambaye aliuza kijiji na watu bila wao kujua huko umachameni. sakata lilipo kuwa kubwa mwenye mali aliyeuziwa anadai ardhi wanakijiji wakastuka na kutaka kuwaua kuona hivyo baba na watoto wakakimbilia arusha ambapo walipata hifadhi ktk ukoo wa moringe sokoine na kubadilisha jina na kabila na kujiita wamasai otherwise lowasa ni mchaga wa machame pure. Nyerere akasema kama baba aliuza kijiji na wanakijiji hata mtoto atakuwa na tabia hiyo tu.