Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

hahahaha. nyerere alimkata lowasa ni kweli kabisa, ila hiki kisa kinaanzia kwa baba yake lowasa ambaye aliuza kijiji na watu bila wao kujua huko umachameni. sakata lilipo kuwa kubwa mwenye mali aliyeuziwa anadai ardhi wanakijiji wakastuka na kutaka kuwaua kuona hivyo baba na watoto wakakimbilia arusha ambapo walipata hifadhi ktk ukoo wa moringe sokoine na kubadilisha jina na kabila na kujiita wamasai otherwise lowasa ni mchaga wa machame pure. Nyerere akasema kama baba aliuza kijiji na wanakijiji hata mtoto atakuwa na tabia hiyo tu.
 
hahahaha. nyerere alimkata lowasa ni kweli kabisa, ila hiki kisa kinaanzia kwa baba yake lowasa ambaye aliuza kijiji na watu bila wao kujua huko umachameni. sakata lilipo kuwa kubwa mwenye mali aliyeuziwa anadai ardhi wanakijiji wakastuka na kutaka kuwaua kuona hivyo baba na watoto wakakimbilia arusha ambapo walipata hifadhi ktk ukoo wa moringe sokoine na kubadilisha jina na kabila na kujiita wamasai otherwise lowasa ni mchaga wa machame pure. Nyerere akasema kama baba aliuza kijiji na wanakijiji hata mtoto atakuwa na tabia hiyo tu.

Hii kwa mala ya kwanza naiskia leo!
 
Lowassa ni mwizi, mbadhirifu, fisadi, mchafu na sasa amekuwa muuaji. Anaua maadui zake kisiasa kwa kuwalisha sumu, sijui hizi mbinu za kigaidi kajifunzia Nigeria ama Israel alikoenda kuhiji?
Ana laana kubwa mno huyu Lowassa lakini siku yake yaja atakiona.
 
mie naona ndiyo wakati wa kumpa urais kwa kuwa mchawi mpe mtoto wako akulelee nay huyu si mwizi kwa kuwa ni mwizi basi hatahiba tena
 
Is it fair to say Mwalimu was right about Lowassa being power hungry and corrupt?
Mkuu kilichomfanya mwalimu kumkataa EL ni the same reasons alizozitumia pia kumkataa JK.Na sidhani kama ccm kwasasa wana haki ya kumkataa EL.

Huo utakuwa uonevu.Hata kama siifagilii ccm na sitaki washinde tena.Bado sikubaliani na wanayomfanyia EL.Kwanini wamtreat yeye with diffrent standards?

Ina maana sasa mwalimu aliwakataa wote nasasa mmojawapo amesafishwa na urais?ccm acheni ujinga na mwacheni EL atumie haki yake kikatiba.Mkishindwa uchaguzi si kwasababu yake.

Swali ni kwanini hamkushindwa uchaguzi wakati wa JK na issue dihidi yao vs mwalimu ni the same?

Sioni kama kumpiga chini EL ndo kufuata mawazo ya mwalimu na wakati hamkufanya hivyo under JK.Acheni unafiki na mbebe misalaba yenu msituvurugie nchi.
 
Lowassa HAFAI.Yote tisa lakini 10 ni kuhusika na issue ya ugonjwa wa Mwakyembe...,inauma sana jamani,lakini akae akijua kua MALIPO ni hapahapa duniani,na malipo yake soon atayapata.
 
Kama kikwete amekuwa rais baada ya nyerere kufa basi hata lowassa atakuwa rais nyerere ni binadamu na mtanzania kama lowassa,ingekuwa ni mwanasiasa mwingine aliundiwa zengwe la scandal kama lowassa tusingemsikia,kwenye moyo wake anajua kabisa ni hila za kisiasa that's why he is shinning kwa speed,naamini kabisa ndani ya ccm hakuna anayeweza kupambana na lowassa
 
Nyerere alimkataa kikwete mpaka akabadilisha kanuni za uchaguzi wa CCM. Mbona hatimaye Kikwete aliukwaa Urais?

Haya ndiyo matatizo ya kuhadithiwa kitu na kukimeza kizimakizima bila kufuatilia ukweli wa kilichotokea. Matokeo yake unaleta uzushi hapa kwenye
jukwaa tukufu.

Lowassa alikataliwa kwa madhambi ya kimaadili, kikwete aliambiwa angoje akomae kwanza, ile ilikua 1995. We unaleta uharo wa kufananisha hizo scenario mbili. Humo kichwani zimo kweli au ndo unapigania mgao?..a.k.a nitoke vipi!
 
Haya ndiyo matatizo ya kuhadithiwa kitu na kukimeza kizimakizima bila kufuatilia ukweli wa kilichotokea. Matokeo yake unaleta uzushi hapa kwenye
jukwaa tukufu.

Lowassa alikataliwa kwa madhambi ya kimaadili, kikwete aliambiwa angoje akomae kwanza, ile ilikua 1995. We unaleta uharo wa kufananisha hizo scenario mbili. Humo kichwani zimo kweli au ndo unapigania mgao?..a.k.a nitoke vipi!

Wote walikataliwa
 
Haya ndiyo matatizo ya kuhadithiwa kitu na kukimeza kizimakizima bila kufuatilia ukweli wa kilichotokea. Matokeo yake unaleta uzushi hapa kwenye
jukwaa tukufu.

Lowassa alikataliwa kwa madhambi ya kimaadili, kikwete aliambiwa angoje akomae kwanza, ile ilikua 1995. We unaleta uharo wa kufananisha hizo scenario mbili. Humo kichwani zimo kweli au ndo unapigania mgao?..a.k.a nitoke vipi!

mjinga huwa hatukanwi bali anafundishwa na kuelekezwa!!!! Mgombea wa CCM tangu enzi za TANU alikuwa anapatikana kwa kupata kura nyingi zaidi ya wengine ( simple majority of votes) lakini kwa kuwa Mzee haambiliki alikuwa hamtaki Kikwete, alibadili kanuni akaseme lazima kura zipigwe tena baada ya mapumziko!!! Nyerere alitumia kipindi cha mapumziko kumtisha Komandoo Salmin ili kura za wazanzibar zihamie kwa Mkapa! Hii ni fact wala siyo hearsay!

Mi sipiganii mgao wowote Mama, ili ni mawazo yangu tu
 
mjinga huwa hatukanwi bali anafundishwa na kuelekezwa!!!! Mgombea wa CCM tangu enzi za TANU alikuwa anapatikana kwa kupata kura nyingi zaidi ya wengine ( simple majority of votes) lakini kwa kuwa Mzee haambiliki alikuwa hamtaki Kikwete, alibadili kanuni akaseme lazima kura zipigwe tena baada ya mapumziko!!! Nyerere alitumia kipindi cha mapumziko kumtisha Komandoo Salmin ili kura za wazanzibar zihamie kwa Mkapa! Hii ni fact wala siyo hearsay!

Mi sipiganii mgao wowote Mama, ili ni mawazo yangu tu

Ndio kundi la LOWASA mlivyokubaliana kuupotosha ukweli ili kuchanganya facts. Bahati mbaya facts are very stuborn things, they will remain facts, whether you like them or not. Na watu wanaomatter wote wanaujua huo ukweli, so keep on kujipa moyo huku kwenye keyboard.
 
Mtu yeyote anayesukumwa na uzalendo hawezi kukubali Lowasa kuwa mkuu wa nchi hii labda wanaosukumwa na hongo
 
Nyerere alimkataa kikwete mpaka akabadilisha kanuni za uchaguzi wa CCM. Mbona hatimaye Kikwete aliukwaa Urais?
Ni kanuni gani za uchaguzi wa CCM alizobadilisha Nyerere? Mimi nilidhani aliyebadilisha kanuni za kura tatu ni Benjamin Mkapa, ili kumfaidisha fisadi mwenzake.
 
mjinga huwa hatukanwi bali anafundishwa na kuelekezwa!!!! Mgombea wa CCM tangu enzi za TANU alikuwa anapatikana kwa kupata kura nyingi zaidi ya wengine ( simple majority of votes) lakini kwa kuwa Mzee haambiliki alikuwa hamtaki Kikwete, alibadili kanuni akaseme lazima kura zipigwe tena baada ya mapumziko!!! Nyerere alitumia kipindi cha mapumziko kumtisha Komandoo Salmin ili kura za wazanzibar zihamie kwa Mkapa! Hii ni fact wala siyo hearsay!

Mi sipiganii mgao wowote Mama, ili ni mawazo yangu tu
This is anothe bold lie. TANU haijawahi kuwa na mgombea zaidi ya mmoja wa urais tangu tulipopata uhuru. Concept ya kura tatu aliibuni Mwalimu baada ya CCM kuwa na wagombea watano na zaidi wanaowania nafasi moja. Na katika hao watano kila mmoja alikuwa na kundi lake. Mwalimu akatumia busara katika uchaguzi wa 1995 ambao ndio uchaguzi wa kwanza kuwa na zaidi ya mgombea mmoja, wa kura tatu ili kuchuja wagombea na kuyapa makundi ya mashabiki nafasi ya kuchagua mwingine ikiwa mtu wao atachujwa. Sasa wewe haya unayoyasema umeyatoa wapi?
 
mkuu kilichomfanya mwalimu kumkataa el ni the same reasons alizozitumia pia kumkataa jk.na sidhani kama ccm kwasasa wana haki ya kumkataa el.

Huo utakuwa uonevu.hata kama siifagilii ccm na sitaki washinde tena.bado sikubaliani na wanayomfanyia el.kwanini wamtreat yeye with diffrent standards?

Ina maana sasa mwalimu aliwakataa wote nasasa mmojawapo amesafishwa na urais?ccm acheni ujinga na mwacheni el atumie haki yake kikatiba.mkishindwa uchaguzi si kwasababu yake.

Swali ni kwanini hamkushindwa uchaguzi wakati wa jk na issue dihidi yao vs mwalimu ni the same?

Sioni kama kumpiga chini el ndo kufuata mawazo ya mwalimu na wakati hamkufanya hivyo under jk.acheni unafiki na mbebe misalaba yenu msituvurugie nchi.

ebu rejea uchaguzi ndani ya ccm mwaka 1995,wagombea wangapi walioingia hatua ya mwisho kwa maana majina matatu yaliyopigiwa kura na baada ya hapo ndipo tutapata la nani alikataliwa na nyerere
 
Alawatan nakusapot 1995 Lowassa alikataliwa kimaadili yaani inasemaekana ni tajiri na utajiri kaupata baada ya uongozi wa umma, na Kikwete alikataliwa kwa sabbau ya kutokomaa kisiasa

...masiki mwalimu angejua kwamba huyu JK hawezi kukomaa kisiasa kamwe angemsulubu na kakitabu kama akina malecela atuepushie janga
 
nyerere ni kiongozi mwenye maono mapana na ndio maana kauli zinajadilika, lowasa hawezi kua rais coz ameonwa mapungufu yake, nyerere alimkataa jakaya mapungufu yakeunayaona, watu walitizama sura na nyerere aliliona akasema kama mzuri pelekeni posa, mbona hamsemi, tungepeleka posa asinge kua rais!
 
nyerere ni kiongozi mwenye maono mapana na ndio maana kauli zinajadilika, lowasa hawezi kua rais coz ameonwa mapungufu yake, nyerere alimkataa jakaya mapungufu yakeunayaona, watu walitizama sura na nyerere aliliona akasema kama mzuri pelekeni posa, mbona hamsemi, tungepeleka posa asinge kua rais!

No comment!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom