Lowassa hatakuwa Rais wa Nchi hii hata mfanyeje.nyerere alikuwa na wivu tu
Lowassa hatakuwa Rais wa Nchi hii hata mfanyeje.
Lowassa ni mwizi, mbadhirifu, fisadi, mchafu na sasa amekuwa muuaji. Anaua maadui zake kisiasa kwa kuwalisha sumu,
Akiwa basi ujue mwisho wa ile kauli ya ''TANZANIA KITOVU CHA AMANI'' utakua umewadia,Akiwa utaficha wapi uso wako? Jamani mengine tuyaache kama yalivyo!
Akiwa basi ujue mwisho wa ile kauli ya ''TANZANIA KITOVU CHA AMANI'' utakua umewadia,
Lowassa ni mwizi, mbadhirifu, fisadi, mchafu na sasa amekuwa muuaji. Anaua maadui zake kisiasa kwa kuwalisha sumu, sijui hizi mbinu za kigaidi kajifunzia Nigeria ama Israel alikoenda kuhiji?
ktk research ndogo niliyoifanya mijini 80 % walikua na mawazo hayo.Kwahiyo sio kitu cha kubuni.Kama huna cha kuchangia ni vema ukakaa kimya na kusoma posts za watu kuliko kuchangia PUMBA,hayo ni mawazo yako binafsi.
shauri yako!lowassa hatakuwa rais wa nchi hii hata mfanyeje.
Lowassa ni mwizi, mbadhirifu, fisadi, mchafu na sasa amekuwa muuaji. Anaua maadui zake kisiasa kwa kuwalisha sumu,
nyerere alikuwa na wivu tu