Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Mwaka 1995, Lowassa na JK walikodi pamoja ndege ndogo binafsi kutoka Dar hadi Dodoma kwa madhumuni ya kurudisha fomu za kugombea Uraisi kupitia tiketi ya CCM............................................
Walipokuwa wakihojiwa na vyombo vya habari wote kwa pamoja walijivunia ujana wao na uzoefu walioupata serikalini kama ndivyo vigezo vya kufikiriwa kupandishwa cheo......................................
Nyerere alijikongoja kutoka Butiama hadi Chamwino (Ikulu ndogo ya Dodoma).........................na kwenye vikao vya kuchuja majina ya wagombea Uraisi tiketi ya CCM....................................Nyerere aliweka bayana ya kuwa kijana Lowassa alikuwa hafai nafasi hiyo ya Uraisi kwa sababu zifuatazo:-
a) Kwa nyadhifa chache tu alizopewa serikalini na ndani ya chama na kwa muda mfupi sana Lowassa alizitumia nafasi hizo kujilimbikizia mali.....................nafasi tajwa ni pamoja na Ubunge wa Taifa, ujumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa nafasi ambazo ni za kubebwa kwenye mbeleko za kiuteuzi tu na vigezo vya teuzi tajwa ni lelemama tupu...................................................
b) Akiwa waziri aliendelea kujilimbikizia mali na kuonyesha udhaifu mkubwa kiuongozi kwenye nchi hii inayofuata misingi ya kikatiba ya ujamaa na kujitegemea....................................................
c) Alinunua vyombo vya habari na kuvitumia kikamilifu katika kuwaghilibu watanzania ya kuwa yeye yu bora kiuongozi kuliko wengineo wote jambo ambalo si la kweli hata chembe......................................
d) Mbali ya ubinafsi uliokithiri tajwa, Lowassa alikuwa na mikwaruzo na wale wasiomkubali na huku akijenga kambi yake ndani ya ccm na hivyo kuleta migawanyiko ya kikabila na kipato na kuwa tishio la usalama wa utaifa............
kamati kuu iliafiki pendekezo la Nyerere na jina la Lowassa likatupwa kapuni......................
lowassa hakukata tamaa hata baada ya mjasiria mali Mkapa kutomteua kwenye baraza la mawaziri kutokana na kashfa za ufisadi lakini alikuwa rafiki yake Abdulrhaman Kinana aliyempigia debe hadi akarudishwa kwenye safu ya walaji...................................
Ikumbukwe mwaka 1995 Kinana ndiye aliyekuwa meneja wa kampuni za Mkapa ..................kwa hiyo kazi ni kulipana fadhila tu............
Baada ya mjasiria mali Mkapa kuachia ngazi, Waziri Mkuu wa wakati huo Bw. Tluway Sumaye ndiye aliyeonekana ni tishio haswa............................na mkakati ukaundwa wa kumthibiti ambao kwa kiasi kikubwa ulihitaji Lowassa amwachie JK kwa makubaliano ya Jk kumteua kuwa PM............................that is where Lowassa kissed off his burning dream of being our next president...........................hakuna PM aliyewahi kuvunja huo mwiko except Nyerere...................................
Kutokana na demokrasia ya kujuana ndani ya vikao vya CCM Jk akawa mgombea Uraisi wa CCM na the rest is history..................
sasa Lowassa matarajio yake kuukwaa Uraisi yameota mbawa baada ya wenzie ndani ya ccm kudai wamejivua gamba.........................lakini lengo ni kuhakikisha ya kuwa katika succession politics of 2015...........................CCM will not be distracted by offical graft allegations now well epitomized by Lowassa....................................kwa hiyo panga pangua........................CCM itaonekana kwa wapigakura haswa wa vijijini kuwa imejisafisha kama Lowassa atajivua gamba....................and time is running out on him after his closest ally.....................Rostam Aziz amebwaga manyanga.........................................................if Lowassa will overcome the pressure and stay put CCM may as well hand power to Chadema today.................................and forget the presidency in 2015.......................................the choices are as stark as that..................................
Angelic Nyerere must be laughing at the wickdeness in Lowassa by now.............................that his words continue to haunt lowassa's political career like a colossus...............................May Nyerere's soul continue to rest in peace....................
Walipokuwa wakihojiwa na vyombo vya habari wote kwa pamoja walijivunia ujana wao na uzoefu walioupata serikalini kama ndivyo vigezo vya kufikiriwa kupandishwa cheo......................................
Nyerere alijikongoja kutoka Butiama hadi Chamwino (Ikulu ndogo ya Dodoma).........................na kwenye vikao vya kuchuja majina ya wagombea Uraisi tiketi ya CCM....................................Nyerere aliweka bayana ya kuwa kijana Lowassa alikuwa hafai nafasi hiyo ya Uraisi kwa sababu zifuatazo:-
a) Kwa nyadhifa chache tu alizopewa serikalini na ndani ya chama na kwa muda mfupi sana Lowassa alizitumia nafasi hizo kujilimbikizia mali.....................nafasi tajwa ni pamoja na Ubunge wa Taifa, ujumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa nafasi ambazo ni za kubebwa kwenye mbeleko za kiuteuzi tu na vigezo vya teuzi tajwa ni lelemama tupu...................................................
b) Akiwa waziri aliendelea kujilimbikizia mali na kuonyesha udhaifu mkubwa kiuongozi kwenye nchi hii inayofuata misingi ya kikatiba ya ujamaa na kujitegemea....................................................
c) Alinunua vyombo vya habari na kuvitumia kikamilifu katika kuwaghilibu watanzania ya kuwa yeye yu bora kiuongozi kuliko wengineo wote jambo ambalo si la kweli hata chembe......................................
d) Mbali ya ubinafsi uliokithiri tajwa, Lowassa alikuwa na mikwaruzo na wale wasiomkubali na huku akijenga kambi yake ndani ya ccm na hivyo kuleta migawanyiko ya kikabila na kipato na kuwa tishio la usalama wa utaifa............
kamati kuu iliafiki pendekezo la Nyerere na jina la Lowassa likatupwa kapuni......................
lowassa hakukata tamaa hata baada ya mjasiria mali Mkapa kutomteua kwenye baraza la mawaziri kutokana na kashfa za ufisadi lakini alikuwa rafiki yake Abdulrhaman Kinana aliyempigia debe hadi akarudishwa kwenye safu ya walaji...................................
Ikumbukwe mwaka 1995 Kinana ndiye aliyekuwa meneja wa kampuni za Mkapa ..................kwa hiyo kazi ni kulipana fadhila tu............
Baada ya mjasiria mali Mkapa kuachia ngazi, Waziri Mkuu wa wakati huo Bw. Tluway Sumaye ndiye aliyeonekana ni tishio haswa............................na mkakati ukaundwa wa kumthibiti ambao kwa kiasi kikubwa ulihitaji Lowassa amwachie JK kwa makubaliano ya Jk kumteua kuwa PM............................that is where Lowassa kissed off his burning dream of being our next president...........................hakuna PM aliyewahi kuvunja huo mwiko except Nyerere...................................
Kutokana na demokrasia ya kujuana ndani ya vikao vya CCM Jk akawa mgombea Uraisi wa CCM na the rest is history..................
sasa Lowassa matarajio yake kuukwaa Uraisi yameota mbawa baada ya wenzie ndani ya ccm kudai wamejivua gamba.........................lakini lengo ni kuhakikisha ya kuwa katika succession politics of 2015...........................CCM will not be distracted by offical graft allegations now well epitomized by Lowassa....................................kwa hiyo panga pangua........................CCM itaonekana kwa wapigakura haswa wa vijijini kuwa imejisafisha kama Lowassa atajivua gamba....................and time is running out on him after his closest ally.....................Rostam Aziz amebwaga manyanga.........................................................if Lowassa will overcome the pressure and stay put CCM may as well hand power to Chadema today.................................and forget the presidency in 2015.......................................the choices are as stark as that..................................
Angelic Nyerere must be laughing at the wickdeness in Lowassa by now.............................that his words continue to haunt lowassa's political career like a colossus...............................May Nyerere's soul continue to rest in peace....................