Kwanini nikimtizama mtu anajikwaa au anaanguka?

mike2k

JF-Expert Member
May 12, 2016
1,458
3,126
Habari za muda huu wana JF.

Naomba kufahamu hii inamaana gani? Kwa zaidi ya miaka 3 sasa nimekuwa nikimtizama mtu anajikwaa au anaanguka.

Hii hali imekuwa inanishangaza sana.

Nimejaribu kuuliza wadau ila hakuna mahali nimepata jibu la kuridhisha.

So nimewasilisha kwenu ili niweze kupata majibu tatizo ni nini?
 
Habari za muda huu wana JF.
Naomba kufahamu hii inamaana gani? Kwa zaidi ya miaka 3 sasa nimekuwa nikimtizama mtu anajikwaa au anaanguka.
Hii hali imekuwa inanishangaza sana. Nimejaribu kuuliza wadau ila hakuna mahali nimepata jibu la kuridhisha.
So nimewasilisha kwenu ili niweze kupata majibu tatizo ni nini?
Shetani na yeye ananguvu.
 
Habari za muda huu wana JF.
Naomba kufahamu hii inamaana gani? Kwa zaidi ya miaka 3 sasa nimekuwa nikimtizama mtu anajikwaa au anaanguka.
Hii hali imekuwa inanishangaza sana. Nimejaribu kuuliza wadau ila hakuna mahali nimepata jibu la kuridhisha.
So nimewasilisha kwenu ili niweze kupata majibu tatizo ni nini?
Yawezekana wewe siyo binadamu...ila ni Jini...
 
Habari za muda huu wana JF.
Naomba kufahamu hii inamaana gani? Kwa zaidi ya miaka 3 sasa nimekuwa nikimtizama mtu anajikwaa au anaanguka.
Hii hali imekuwa inanishangaza sana. Nimejaribu kuuliza wadau ila hakuna mahali nimepata jibu la kuridhisha.
So nimewasilisha kwenu ili niweze kupata majibu tatizo ni nini?
Kuna nguvu ya giza inafanya kazi ndani yako ambayo huitambui. Kama ulivyoshauriwa nenda kaombewe. Unajua kuna uchawi macho??
 
Habari za muda huu wana JF.

Naomba kufahamu hii inamaana gani? Kwa zaidi ya miaka 3 sasa nimekuwa nikimtizama mtu anajikwaa au anaanguka.

Hii hali imekuwa inanishangaza sana.

Nimejaribu kuuliza wadau ila hakuna mahali nimepata jibu la kuridhisha.

So nimewasilisha kwenu ili niweze kupata majibu tatizo ni nini?
Una dalili zote tosheleza za kuwa Jini!!!!
 
Back
Top Bottom