- Thread starter
- #161
Hapo jikite atmospheric level, troposphere,stratosphere,mesosphere&meterosphere.Hivo air bus fly at troposphere kutokana anga zingine kuna uvutano
samahani mkuu unaweza kuchambua kimoja kimoja kwa faida ya wengi humu jf?
Hapo jikite atmospheric level, troposphere,stratosphere,mesosphere&meterosphere.Hivo air bus fly at troposphere kutokana anga zingine kuna uvutano
samahani mkuu unaweza kuchambua kimoja kimoja kwa faida ya wengi humu jf?
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?
Inaonekana kiwango chako cha uelewa wa science ni kidogo. Ubluu ni mwisho wa upeo wa macho yako. Hata ukienda na chombo kama apolo ubluu utauona, hauna mwisho.
K4 LIFE, We need to search some materials on this concept bt apart frm troposphere.there are chaotic air in wch ndege haiewez kuhimili eg nguvu y uvutano, temperature inversion etc mkuu tusome coz mambo mengi
Una maana ndege mnyama au kitu gani? Kama una maanisha ndege ya kusafiria basi ni dhahiri hujawahi kusafiri kwa chombo hicho kwa masafa marefu.
Ni vema ungeuliza hiyo blue inayokuwaga juu ya mawingu meupe ni nini kabla hujasema ndege hazivuki mawingu meupe.
We jamaa bhana, mbona unaharibu lengo la thread yako
hapana mkuu sio masihara bana mimi hili jambo linasumbua sana akili yangu ndo maana nimelileta hapa kwa magreat thinker
Wakuu,
Kama una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/ mawingu ya bluu? Why?
kwa hiyo una maanisha uwezo wa binadamu kuona ni hiyo anga ya bluu? acha uongo wewe
Huyu atakuwa shyland,kabadili id
Sasa kwanini unakuwa mbishi bafala ya kutulia ueleweshwe
Mbishi hafu unataka kujua! Hutajua maisha yako yote!