- Thread starter
- #121
Kifupi ni kwamba hujawah kupanda ndege na huna akili
mkuu nimepanda pipa zaidi ya mara 8, kwa hiyo nina uhakika na swali langu.
Kifupi ni kwamba hujawah kupanda ndege na huna akili
mkuu nimepanda pipa zaidi ya mara 8, kwa hiyo nina uhakika na swali langu.
Hilo pipa ulilopanda. .la lami au mafuta
Kwa hiyo unataka mimi nikuchagulie, wewe si una utashi, amua unaloona linafaa
Sasa Ukitaka kupata ukweli ludi kwenye vitabu vya dini ila hii sayansi tuisome tu kwaajili ya kutupa ujiz fulan fulan likini hakuna ukweli katka mambo fulani na hapa ndipo napata maana ya andiko lililosema " MJIBU MPUMBAVU SAWASAWA NA UPUMBAVU WAKE" kitabu cha methel sura ya 25 mstari wa 4. Tuisome sayansi alafu tiache na upumbavu wake ukweli wa mambo haya utabaki kwa Mungu tu.
Sasa Ukitaka kupata ukweli ludi kwenye vitabu vya dini ila hii sayansi tuisome tu kwaajili ya kutupa ujiz fulan fulan likini hakuna ukweli katka mambo fulani na hapa ndipo napata maana ya andiko lililosema " MJIBU MPUMBAVU SAWASAWA NA UPUMBAVU WAKE" kitabu cha methel sura ya 25 mstari wa 4. Tuisome sayansi alafu tiache na upumbavu wake ukweli wa mambo haya utabaki kwa Mungu tu.
Sky is blue because we are living in the eye of one giant bird
Kwani kitabu cha mithali kimeandikwa na nani
Kwani kitabu cha mithali kimeandikwa na nani
Hakuna Mawingu ya bluu! Hivi umesoma Jiografia shule ya msingi wewe? Unajua aina za mawingu? Hiyo Blue ni mwisho wa uwezo wa kuona wa macho yako.Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?
Mambo mengine kwa akili za kibinadamu ni vigumu kufahamu ila kwa wale wasomaji wa Biblia watakubaliana na mimi kuwa ile wanayo inona bluu kule juu ni maji.
Unamaanisha nini cjakuelewa mkuu?
daaahh jamani vitabu vya dini vinakula sana akili zetu.. ningekua na uwezo ningevipiga ban
Hakuna Mawingu ya bluu! Hivi umesoma Jiografia shule ya msingi wewe? Unajua aina za mawingu? Hiyo Blue ni mwisho wa uwezo wa kuona wa macho yako.
Naomba Mod uanzishe Forums za watoto humu coz ishakua tabu.
Inavo onekana we ni mmoja ya watu wanoa amini kuwa binadamu katokana sokwe!
Kitabu cha mithali kimeandikwa na nani?
Inavo onekana unataka mabishano ya dini ila mimi cpo kwa kazi hiyo alafu pia vitabu vya dini viko vingi na vina ufafanuzi wake kuhusu asili ya mambo haya kwaiyo tafuta kitabu unacho kiamini na kama huna unacho kiamini ila sayansi ndo unaiamini basi ni sawa pia.