Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,747
- 12,469
kwani binadamu katokana na nini?
We jamaa bhana, mbona unaharibu lengo la thread yako
kwani binadamu katokana na nini?
We jamaa bhana, mbona unaharibu lengo la thread yako
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?
Hakuna anga lionekalo kwa Rangi uliyosema ,,,,,, unachokiona sio anga ila mwisho wa uwezo wa macho yako kuona
mkuu mi si nimeuliza tu bana
Kwani ile blue ni anga au mbingu? Mwezi mungu ameumba mbingu saba.
Lukelo una akili sana tatizo una masihara sana
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?
Duuu anga ya mawingu ya samawati!!!!
anga halina mwisho wala rangi. Huko unakotaka ndege ifike hakuna kani uvutano - sijui kani uvutano inaitwa nini kingreza mii nilisoma kayumba na kuishia huko.
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?
Jiulize kwanza kwa nini maji ya bahari au ziwa ukiyaangalia kwa mbali unaona kama ya bluu...ulishawahi kufika baharini ukayachota na kukuta ni ya bluu?sasa mkuu ile ya blue ni kitu gani?
Rafiki hakuna anga ya blue hapo unapopaona pa blue ukifika hapo hadi chini unaona pa blue.
Kwa nini mlima ukiwa jirani unaonekana wa kijani, ila ukiwa mbali huonekana wa blue?
Chini wapi angani hakuna chini wala juu.Pia anga halina center!
Elimu ya bure kijana hicho unachokiona kama blue sio anga ila Ni rangi ya miale mifupi itokayo kwenye jua (Short wave radiation) yenyewe ina rangi ya blue kwa asili na kwakua haina uwezo wa kusafiri umbali mrefu usambaaa angani na kufanya anga liwe la blue (scattering process ) kitendo hicho hakina totauti na urushaji wa mafataki ya rangi angani ambayo usababisha anga kuwa na rangi ya fataki asante wako ktk kujenga taifa mkatagogo kwa wembe
Jiulize kwanza kwa nini maji ya bahari au ziwa ukiyaangalia kwa mbali unaona kama ya bluu...ulishawahi kufika baharini ukayachota na kukuta ni ya bluu?
Au ukiangalia kwa mbali hata sasa angalia mbele yako utaona kama anga linashuka kugusa ardhi na kutengeneza dome..ulishawahi kukimbia (kwa miguu au kwa gari) ukagusa lile anga kule linakoonekana kugusa ardhi?
Kwa mifano hiyo utagundua kuwa pale uwezo wa macho ya binadamu kuona ndipo yanapofunga ukurasa na hapo utaona bluu au anga kugusa ardhi. Kaka yangu mmoja kipindi ana akili za ki-teenager alikimbia kilometa za kutosha kwa lengo la kushika anga kule linakoshukia, aliishia kurudi nyumbani amechoka ile mbaya!
Naaaam Samawati ni rangi ya Blue!