Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

Kuwa mwelewa pale hakuna kitu kilichowekwa bali ni muunganiko wa chembe chembe ambazo kwa mbali ndo zinaonekana za blue, ukifika huko hiyo blue hutaiona

Ni chembe chembe za kitu gani na ni nini chanzo cha hizo chembe chembe.?
 
mkuu usitake kutulazimisha tukubaliane nawe sawa, weka hapa ushahidi wa kutosha kama kweli ni ukomo wa kuona wa binadamu, sio unatuletea hoja nyepesi nyepesi na zisizo na mashiko yoyote.

We jamaa ni Nyumbu eti?
 
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?

Mkuu hili swali lako uko serious ama???? Sijakusoma mkuu. Ikiwa uko serious basi naomba urudi shule ya msingi kidogo
 
Kuwa mwelewa pale hakuna kitu kilichowekwa bali ni muunganiko wa chembe chembe ambazo kwa mbali ndo zinaonekana za blue, ukifika huko hiyo blue hutaiona

Alafu samahani kidogo mkuu kwani zile nyota, mwezi na jua nani ilikuwaje kuwaje zikawepo?
 
Ni chembe chembe za kitu gani na ni nini chanzo cha hizo chembe chembe.?

Inatokana na miale mifupi ya jua ambayo haifiki huku tulipo, achana na hii inayofika huku chini na kutuchoma, hivyo kwa kuwa haifiki huku husambaa huko juu na sisi kwa mbali ndo tunaona hiyo bluu, sijui kama nimeeleweka
 
alafu samahani kidogo mkuu kwani zile nyota, mwezi na jua nani ilikuwaje kuwaje zikawepo?


swari zuri ili,, ngojea tusubirie jibu,,, japo katika quran mungu ameelezea kwa ufasaha zaidi kuhusu mbingu ya kwanza na vilivyomo,
 
Inatokana na miale mifupi ya jua ambayo haifiki huku tulipo, achana na hii inayofika huku chini na kutuchoma, hivyo kwa kuwa haifiki huku husambaa huko juu na sisi kwa mbali ndo tunaona hiyo bluu, sijui kama nimeeleweka

sasa hapa ndo tunauona uongo wa wana sayansi, kwani sayansi inasemaje kuhusu jua limetokea wapi?
 
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?
swali la 'kijinga' ila la kiudadisi sana! Ngoja nami nisubiri jibu au niingie google!
 
Alafu samahani kidogo mkuu kwani zile nyota, mwezi na jua nani ilikuwaje kuwaje zikawepo?

Kimsingi unachotakiwa kujua ni kwamba jua ni nyota pia, lilitokana na uwepo wa gimba kubwa la mawingu lililoundwa kwa haidrojeni nyingi na helium, pia oxygen na chuma (sijajua namna nzuri ya kuiname gimba)
 
Back
Top Bottom